Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

=== Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania. Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo...
26 Reactions
170 Replies
3K Views
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao. Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule? Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee...
27 Reactions
102 Replies
5K Views
Leo nataka niwape stori ya kweli najua kila mmoja wetu anamambo yake kutokea huko nyuma katika maisha yake watayatoa kwa wakati wao ila mimi nimona muda huu unanifaa kushare haka kastori kafupi...
6 Reactions
9 Replies
324 Views
Muda si mrefu tutawapa na serikali za mitaa wanavyoongezeka. Immigration fanyeni msako wa guest za Mbagala Zakhem kila alhamisi mpaka jpili Hizi guest nyingi huhifadhi waethiopia wanaosubiria...
0 Reactions
14 Replies
304 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni...
25 Reactions
133 Replies
10K Views
NAMNA YA KUWEZA KUISHI DAR! ISHI KIBEPARI Anaandika Robert Heriel Ni ndoto ya Vijana wengi hapa nchini kuja mjini hasa Dar es salaam. Hilo sio ajabu kwani hata katika mataifa mengine hiyo ni...
70 Reactions
114 Replies
10K Views
Mbunge wa Vwawa, Japhet Hasunga amesema kabla ya kifo cha aliyekuwa mfanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Milton Lupa kimetokea akiwa njiani kuripoti...
0 Reactions
2 Replies
249 Views
Mf;G.Malisa ,Mwanamapinduzi Singida kifupi police wameshapewa order toka juu kukamata wanaharakati wote ambao wanachipukia na wakosoaji wa serikali hali hii itarudi kwa kasi kabla ya uchaguzi wa...
3 Reactions
7 Replies
72 Views
Habarin wa JF natumaini mko powah kabisa Huyu fundi simu amenishangaza sana mpaka nimeona nilete uzi huu kwa wale wahanga wa simu mbovu mnao shinda kwa mafundi iko hivi mimi nina jamaa yangu...
21 Reactions
139 Replies
4K Views
Naomben ushaur nimuoe au nimuache tu Nimepata mchumba mdogo tu miaka 19 katulia Hana mambo mengi na bado hamjui mwanaume yan bikra kabsa na yupo tayari kuolewa ni mtu wa kondoa ni mrembo sana...
10 Reactions
55 Replies
684 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,180
Posts
49,822,096
Back
Top Bottom