Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Niaje waungwana Leo nimeamua nilete kwenu uzi huu ili tumalizie ubishi uliopo mtaani kwetu kwa muda wa week tatu sasa bila kumpata mshindi wa kweli, huku kila kundi likivutia kamba upande wake...
9 Reactions
233 Replies
2K Views
General JJ Mkunda. Commissioner General Immigration Anna Makakala. Jeshi la Wananchi Tanzania kupitia Mkuu wa Jeshi JWTZ, has again done us proud. Mkuu wa Jeshi, CDF General Jacob John...
9 Reactions
61 Replies
4K Views
Baada ya serikali kupitia polisi kuamua kufumbia macho kesi ya shambulio la kukusudia kumuua Lissu na majuzi kufunga rasmi mjadala huo kwa kumrudishia kielelezo cha kesi (evidence) ghafla jambo...
23 Reactions
91 Replies
3K Views
Tehran, afisa wa ngazi za juu aliyekua anahusika na upelelezi wa ajali iliyogharimu maisha ya Rais wa Iran siku chache zilizopita amepigwa risasi na kufariki. "Huku mtu aliyempiga risasi...
12 Reactions
106 Replies
2K Views
1. UWAJIBIKAJI: Mvulana uwajibike kwa matendo yako na uwajibike kwa makosa yako. 2. HESHIMA : Onyesha heshima kwako na kwa wengine, pamoja na wale ambao ni tofauti na wewe. 3. UAMINIFU : Kuwa...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Kosa langu nini ni Vannesa? Mchana usiku bado nakuwaza Vannesa. Siku wiki miaka inapita bado nakuwaza Vannesa . Kosa langu nini Vannesa? Kwa jina naitwa Assenga Mashauri . Ni kijana wa miaka 28...
7 Reactions
123 Replies
2K Views
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news. Lakini Cha ajabu...
5 Reactions
195 Replies
2K Views
Haya ni maisha ya kawaida kwa mikoa iliyo mingi hapa Tanzania labda ukiiondoa Dar pekee. Maisha ya mikoani ni full kufatiliana wajue unafanya nini au unapanga kufanya nini na lengo sio kusaidia...
13 Reactions
49 Replies
1K Views
Habari Wakuu, Nina Matank ya Maji 15 nauza, ni haya meupe yanayokujaga na bidhaa za viwandani kisha baada ya kushusha mzigo yanabadilishwa kutumika kama ma-tenk ya kuhifadhia au kusafirishia maji...
1 Reactions
8 Replies
59 Views
Ukiwaacha JWTZ, ni taasisi ipi ya uma raia wa kawaida ana imani kuwa atatendewa haki bila kuinunua? 1. Polisi? Wengine wanasema kuingia kituo cha Polisi ni bure lakini kutoka ni hela 2...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,238
Posts
49,685,728
Back
Top Bottom