Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari Ndugu zangu, kama taarifa inavyo eleza, kijana huyu amepotea, haonekani. Wakazi wa Dar es salaam, Msaada kwa atakaye muona au kusikia taarifa zake.
5 Reactions
29 Replies
407 Views
Wachina ni wachapakazi sana, wabahili sana, wambea sana, wanapenda sana sigara lakini pia ni wezi sana. Ukipata kazi kwa wachina ujue utafanya kazi kweli kweli, iwe ni kiwandani, barabarani au...
4 Reactions
19 Replies
198 Views
Mtumishi mwenye Mkataba namba Na. SMC/CW/PF.113/3 amefika Ofisini kwetu na ameomba tupaze sauti kwa niaba yake. Hii hapa historia fupi ya malalamiko yake. Wakati wa zoezi la uhakiki wa Watumishi...
8 Reactions
33 Replies
1K Views
Ndugu wajumbe, Naombeni ushauri wa namna nzuri (economically optimal) ya kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha tu. Nalenga kupangisha wanafunzi wa chuo/shule, mabachelors, na watu wanaoanza...
5 Reactions
42 Replies
899 Views
Kuna feelings flani hivi ameiziiing Eti wakuu?
6 Reactions
48 Replies
974 Views
Sio kwamba mnyama nyumbu alipenda kuzaliwa hana akili mbungani hapana ni nature tu iliamua kwa ujinga wake awe kitoewo rahisi kwa wanyama wengine. Hata sisi kwetu waafrika weusi nature tu imeamua...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Salaam, Shalom!! Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri. Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo...
2 Reactions
3 Replies
4 Views
Makampuni ya kubeti yanatuma meseji hadi imeshakuwa kero sasa. Mtu hata haujajisajili huduma yao yoyote lakini unashangaa unatumiwa mameseji tele ya mfululizo tena kila siku. Lakini cha...
3 Reactions
22 Replies
491 Views
TUambiane jamani tujue
0 Reactions
16 Replies
17 Views
TFF tuliwaasa kulea madhambi na kuacha weledi na kuingiza siasa kwenye football hamkutusikia, kijana alikumbia mkataba akahongwa, akashindwa kesi TFF mkaingiza siasa labda na woga mkataba...
16 Reactions
58 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,053
Posts
49,792,127
Back
Top Bottom