Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Sio kwamba mnyama nyumbu alipenda kuzaliwa hana akili mbungani hapana ni nature tu iliamua kwa ujinga wake awe kitoeo rahisi kwa wanyama wengine. Hata sisi kwetu waafrika weusi nature tu imeamua...
5 Reactions
28 Replies
451 Views
Katika sherehe za kukabidhiwa kazi leo, Askofu Malasusa amesema; "Kumekuwa na majadiliano mengi kuhusu suala la ndoa za jinsia moja na kwamba jambo la ndoa za jinsia moja tuachieni viongozi wa...
2 Reactions
9 Replies
575 Views
Nimeona niulize hili swali kwa sababu muda huu naangalia mubashara mechi ya mtoano kati ya Tabora United vs JKT. Kilicho nihuzunisha ni maamuzi ya kibabaishaji ya hawa waamuzi wote watatu wa kike...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kabla ya kuendelea, turejelee kauli aliyoitoa Colonel Lionel Dyck, mkurugenzi wa jeshi binafsi la DAG ambaye mkataba wake wa kutoa msaada wa anga pale Msumbiji ulitamatika tarehe 6, April 2021...
57 Reactions
193 Replies
6K Views
Ndugu zangu Watanzania, Haya ni maoni yangu mimi kama mimi kuiomba Serikali yetu kuiandikia barua VOA kupitia Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania kuiomba Msamaha nchi yetu, kwa habari yake ya...
0 Reactions
32 Replies
325 Views
Watalam wamebaini kua hewa chafu inachangia matatizo ya akili hii imebainika kwa tafiti iliyofanyika India --- Hewa yenye Sumu Inaweza Kuathiri Afya Yako ya Akili. Hivi ndivyo Jinsi inavyo athiri...
1 Reactions
4 Replies
56 Views
Wasaalam. 4 Juni, 2024, Dodoma. ________________ Athuman Kapuya Foundation ni shirika lililosajiliwa mwaka 2021 ambapo, kwa kipindi chote limetekeleza matakwa ya kisheria ya uwasilishaji wa...
7 Reactions
7 Replies
252 Views
Wakuu Tumekuwa tukifuga sana wanyama majumbani mwetu kwa miaka mingi hasa jamii za kiafrika. Ingawaje tumekuwa tukiwatendea unyama uhuni wanyama tuwafugao. Hapa nitaeleza kwa ufupi niliyoyajua na...
60 Reactions
167 Replies
10K Views
Hakutakuwa na tangazo la zabuni ya kuuza nchi. Sio kwamba gazetii au international business portal zitatangaza kwamba kuna nchi inauzwa huku. NO Mtakuja kushtuka tu heeeh kumbe mmeuzwa miaka...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Mkuu wa Wilaya ya Songea amesema Misaada kutoka Nje ina Masharti magumu na yanayoumiza DC alikuwa anatoa salamu za mkoa kwenye Ibada ya Kanisa Halisi jana Jumapili DC ametoa mfano wa Nchi ya...
2 Reactions
13 Replies
772 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,165
Posts
49,794,286
Back
Top Bottom