Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Sijawahi mkubali na bado simkubali Paul Makonda. Lakini hilo haliondoi ukweli kuwa aina ya siasa anazofanya ndizo zinazopendwa na wananchi. Siasa za kuikimbiza serikali(Watumishi wa serikali) na...
6 Reactions
6 Replies
161 Views
Kwa muda mrefu sijapost mada hapa JF, lakini baada ya kuona upotoshaji wa peno hasegawa kuhusu kijiji cha Itumbi imenibidi kuleta mada hii. Nimekaa kijiji cha Itumbi kwa nyakati tofauti kuanzia...
0 Reactions
6 Replies
45 Views
Usije sema hukuambiwa. Kama kawaida huku ni nyama nyingi, ugali kidogo. 1. SECRETARY Baada ya kutoka hospitali ya magonjwa ya akili kwasababu ya tabia ya kujidhuru mwenyewe, sasa bibie Lee...
2 Reactions
23 Replies
588 Views
Kuna Mdada ni mteja wangu mkubwa katika biashara Yangu, Yupo vizuri kimaisha, kama mwanaume nilijikuta nikimtamani maana ni mtu na nusu Ila kabla ya kumtongoza nilikuwa Namuuliza kama Ana mume...
25 Reactions
178 Replies
5K Views
Try Again na Kamati ya Usajili ya Simba Hawapaswi Kuhusika kwa chochote Kwenye Mipango ya Timu kwa Msimu Ujao Huyu try Again hakuna anachojua kwenye mpira, ni kiongozi aliyehusika kuleta...
0 Reactions
14 Replies
351 Views
Habari Kuna jambo limenitatiza sana, nina mke naishi nae ana mtoto mdogo ananyonyesha. Ameweka kitanzi kama njia za uzazi. Nilisafiri mkoani tukawa tunachart akaniambia nikifanya mapenzi na wewe...
17 Reactions
157 Replies
3K Views
Siri Yafichuka Ndani Ya Equity Bank, Mmiliki Wa Gazeti La Jamvi La Habari Alipewa Tender Na Swahiba Wake Zenda Baada ya mgao kuzulumiana wameanza kutajana njama chafu za Equity Bank walipogawa...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Sikiliza Afande Sele alivyowashukia CHADEMA hapa
1 Reactions
8 Replies
167 Views
Salaam enyi wanachama wa kataa ndoa, Mimi kama katibu mwenezi wa kataa ndoa. Ime nibidi kuwa andikia tena wanachama wetu, ili kuzidi kushikilia misimamo na utaratibu wetu wa kukataa ndoa. Lakini...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Raia 12 wa Malawi ni miongoni mwa raia 40 wa Kigeni waliokamatwa baada ya kuacha kazi kwenye mashamba ya Arava na Lion kutokana na kulipwa Ujira mdogo na kwenda kutafuta kazi za zenye malipo bora...
3 Reactions
52 Replies
621 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,803
Posts
49,555,409
Members
667,654
Latest member
Seb Jr
Back
Top Bottom