Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ahadi za kupandishwa mishahara halafu kunafuatiwa mlolongo mreefu wa kiwango gani kipande, huku kila msimu wa Bunge viongozi wakijilimbikizia mafao ya kustaafu hiyo si sahihi. Haya sasa, sheria...
5 Reactions
22 Replies
378 Views
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda...
25 Reactions
139 Replies
3K Views
Sote tunafahamu na tunatambua kuwa uchawa (chawaism) upo katika nchi hii na katika ngazi tofauti za uongozi, lakini kitendo cha mtu kuonyesha uchawa uliopitiliza ni zaidi ya uzwazwa. Nilipomsikia...
8 Reactions
104 Replies
3K Views
Mie ni kijna miaka 24 ,mwenye hofu ya Mungu na mpambanajii Mie ni mwenyeji wa Kahama , nipo mwanza kuanza maisha rasmi baada ya kumaliza chuo dar es salaam na kupambana sana , nimefanya biashara...
11 Reactions
67 Replies
2K Views
Viongozi wa dini mnaalikwa kwenye matukio mengi ya kitaifa mnakaa meza moja na wakubwa kweli mnashindwa kuteta na waheshimiwa ili Basata iwaite wasanii na kuwaomba wapunguze matusi kwenye nyimbo...
3 Reactions
24 Replies
259 Views
Nimekaribia kuingia kwenye huu mtego aisee, nimepata single mother mzuri kinoma, ananisikiliza kila kitu , ni muislamu yupo tayari kubadili dini na kua mkristo, Yuko smart kichwani yaani naona...
28 Reactions
282 Replies
8K Views
Heri ya jumapili kwenu... Juzi kati nimebahatika kutunukiwa tunda na binti mmoja mwenyeji wa huko pembezoni mwa ziwa Victoria,japo aliniweka wazi kuwa asili yawazazi wake wote ni wanyarwanda...
17 Reactions
102 Replies
10K Views
Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti. Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina...
17 Reactions
86 Replies
4K Views
Maisha baada ya chuo ni magumu sana, mtu unaweza kuwa unajitafutia riziki mfano boda boda unakutana na disappointments nyingi. Kuna watakaokwambia kuwa umesoma Kwa ajili gani na unafanya kazi...
0 Reactions
7 Replies
52 Views
Wakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na...
14 Reactions
47 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,293
Posts
49,542,585
Members
667,378
Latest member
kawatega01
Back
Top Bottom