Wengi wamesikia kuhusu kauli ya Nape akiwa Bungeni akilalamika na kufoka kuhusiana na kauli ya Tundu Lisu aliyoitoa, akimtaja Rais Samia ni Mzanzibari. Hoja aliyoisimamia Nape ni kule kumwita Rais...
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.
Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa...
Toka mwaka jana pm yangu haifunguki nishafungua nyuzi nyingi za kucomplain but nyie mnaojiita viongozi sijui wamaliki wa jf mnaziignore, inabidi mjue bila sisi hampati hela ya ugali. Cookie...
Wadau inashangaza na kusikitisha sana kuona Serikali Kwa maana ya Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama barabara kuonekana KUSHINDWA kabisa KUWADHIBITI hawa BODABODA wanaowabeba WATOTO wa CHEKECHEA...
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi...
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo...
https://youtu.be/Anpu1A8votA?si=98jTv4wJXuINnMdV
Asisitiza Samia akane kama sio Mzanzibar? Amesoma katiba ya Zanzibar ikieleza Zanzibar ni nchi, kwa hiyo sio kweli Samia katoka nchini Zanzibar?
Inchi yetu Wananchi wake waliingizwa kwenye Vyama vingi Kwa utashi wa MATAIFA ya nje na Viongozi walio na hila Ili waonekane wanaenda na matakwa ya wakati katika Siasa.Waliotaka Vyama vingi...
Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.