Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

0658204909 tsup or Normal
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari, wakubwa mimi kijana wa kiume 31 miaka. Naomba kwa mtu anayeweza kuwa mwalimu wangu wa ngumi, au kuniunganisha na mwalimu wa martial art, awe anapatikana manispaa ya kigoma ujiji...
0 Reactions
11 Replies
39 Views
Kumekuwa na picha zinazoenea kwenye mitandao zikimuonyesha rais samia akiwa katika ibada kanisani,sina uhakika ikiwa ni ibada ya pasaka au otherwise lakini kinachoonekana ni kwamba amekwenda na...
5 Reactions
43 Replies
722 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
162K Replies
4M Views
1.Sofa kali mpya=650,000(Haijatumika) 2.Home theatre LG=350,000 3.Meza ya jiko ya kupikia plate 2 =300000 (Haijatumika) 4.Coffee table=60000(Hijatumika) Sababu anahama kwenda mkoa mwingine. Vitu...
0 Reactions
12 Replies
220 Views
Nahitaji simu ya kawaida kabisa bajeti yangu laki na 30. Kikubwa iwe ina uwezo wa kutoa audio inayo sikika vizuri. Iwe Type C ambayo inaweza kutumia vile vi microphone vya sh elfu 25. Nakumbuka...
0 Reactions
34 Replies
187 Views
Ujumbe kwa ccm ,na mbunge wa same mashariki ,wakala REA kanda ya kaskazini ameshindwa kukiunganishia umeme kijiji cha lugulu kilichopo halmashauri ya same,Wananchi wanalamika sana kua wao wamekua...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake 1. TPDC 2. TCRA 4. Ngorongoro 3. Ewura 4. WCF 5. TBS 5. TANAPA 5. Tume ya madini 6...
91 Reactions
2K Replies
522K Views
Watu wengi hudha kuwa kuoga ni takwa la kiafya kumbe sio kweli kuoga kuna madhara mengi kuliko kutokuoga Utafiti uliofanywa na wanasayansi umethibitisha kuoga mara kwa mara huleta madhara kiafya...
5 Reactions
54 Replies
930 Views
Habari zenu wakuu wa jamvi naomba kuuliza kwa wale wenye uelewa wa tofauti kati ya silaha hizi SMG na ILE inayoitwa AK-47 nimekuwa mfatiliajia sana wa habari hapa nchi utasikia majambazi...
11 Reactions
413 Replies
124K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,350
Posts
49,516,950
Members
667,077
Latest member
Tabakha
Back
Top Bottom