Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Generali Ogolla wa Kenya, alifariki katika mazingira ya kutatanisha. Swali linalokuja ni: Je, serikali ilihusika? Na ikiwa hapana, Je, Kenya itajikuta lini kwenye hatari ya mapinduzi ya kijeshi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Celebrities anaabudu pombe na Mademu. Siku likimkuta Jambo anaaibika hadharani kabla na baada ya Maziko, watoto wanabaki kugawana makochi na harrier old model. NB: Tengeneza future ya wategemezi...
22 Reactions
143 Replies
5K Views
Anaupiga mwingiiiii,,,,,,,,,,,kusifia kumekuwa jambo la kipaumbele zaidi licha ya wananchi majimboni hawaogi wiki nzima kwa kukosa maji bombani hakuna mijadala ya kuwaweka kitimoto wapigaji, hata...
0 Reactions
3 Replies
49 Views
Kiongozi Mkuu wa ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe, katika maelezo yake amedai kwamba walifikia Makubaliano na Mbowe ili yeye achukue uenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe, Amezungumza mengi , lakini...
1 Reactions
10 Replies
237 Views
  • Poll
Jf amani iwe nanyi. Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oct 2030, 77% ya wapigakura wote watakuwa ni Vijana wa 2000s` Mrithi sahihi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya CCM lazima awe ni mgombea...
4 Reactions
200 Replies
4K Views
Zitto Kabwe amesema mwaka 2012 alipata changamoto chama chake cha wakati huo cha CHADEMA akidai ilikuwa juhudi ya kumzuia kuwa mwenyekiti wa chama hicho, Zitto amesema kulikuwa na makubaliano...
6 Reactions
87 Replies
2K Views
Kama kichwa cha mada hapo juu kinavyojieleza, kuna familia ambazo zimeaminishwa ili waweze kuendesha maisha nipale wanapokuwa katika ajira ,ama shirika au serikalini. Na familia hizi nyingi...
0 Reactions
4 Replies
100 Views
Nikiwa nimemaliza chuo sina hili wala lile, niko kitaa nikijipanga, nikachangiwa na ndugu zangu mtaji wa milion 4 point something huko, niende nikafanye biashara ya mchele toka Moro vijijini...
184 Reactions
2K Replies
459K Views
Kwanini wanawake wa kizungu wanaweza kuvaa vikaptula au nguo fupi sana zinazoacha sehemu kubwa ya maungo yao wazi na wakatembea mitaa kama ya Kariakoo bila shida yoyote au kusumbuliwa na Wanaume...
16 Reactions
108 Replies
4K Views
== Haya ndio matokeo ya awali ya Upigaji kura za maoni kule Jamii forums kwenye Jukwaa la Siasa, Mwendeshaji wa POLL ile ametaka kujua ni mwanachama gani wa CCM hasa Watanzania wanamuhitaji...
1 Reactions
13 Replies
169 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,125
Posts
49,508,941
Members
666,980
Latest member
nyamwitanga
Back
Top Bottom