Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwanza vitu vingine kwenye maisha sio lazima ni sifa tu, hakuna utofauti wowote kwenye ndoa either ufanye sherehe au usifanye, lakini kumekua na kero kubwa sana juu ya hii Michango ya harusi, ndoa...
2 Reactions
15 Replies
176 Views
Yeye Try again kama amejiuzulu sawa hayo ni matakwa yake Binafsi, Ila Sisi wenye 51%ndio tutachagua Mwenyekiti mpya wa kufanya nae kazi hata huyo Mo mwenyewe hana maamuzi ya kuteua Mwenyekiti...
9 Reactions
24 Replies
749 Views
Amechokaje kukumbatia midoli!! hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa! sifa za anaetafutwa 1. Asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna...
29 Reactions
415 Replies
38K Views
Wanajukwaa habari zenu! Hivi umewahi kujiuliza, Kwa nini Mboga ni za lazima au muhimu unapokula ugali? Je, umewahi kula ugali bila mboga yoyote ile? Inawezekana? Haiwezekani? Kuna makundi makuu ya...
2 Reactions
47 Replies
420 Views
Asalaaam aleykum mm n kijana mwenye umri wa miaka 24 natafuta mchumba ambaye umri wake uwe kuanzia 18 had 30 HV mm najishughulisha na ufugaji ila yey shughul c lazma mm n mrefu wastn fut 5.5,maji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
524K Replies
30M Views
Mimi Mjanja M1 nimeishi MAREKANI, ULAYA na Bara ASIA. Kote huko sijaona mambo ya ajabu kama haya.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wadau hasahasa wale wa mbali na Dodoma na hata waliopo Dodoma,kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku...
59 Reactions
327 Replies
22K Views
Kila maamuzi anayotoa Waziri wa Ardhi na Makazi na maendeleo ya Nyumba, Jerry Silaa ujumbe anaoutoa ni kwamba mifumo ya utoaji haki kwenye Taifa letu imeoza. Mabaraza ya Ardhi mpaka mahakama zetu...
10 Reactions
31 Replies
490 Views
Kwa jinsi hii DART ilivyokuwa inapigiwa promo enzi mradi unaanza, na hali halisi ya sasa ya uendeshaji wake, ni dunia mbili tofauti. Kuna kipindi mradi ulivyokuwa unafunguliwa na Hayati Magufuli...
3 Reactions
10 Replies
104 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,645
Posts
49,862,614
Back
Top Bottom