Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Muda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka...
15 Reactions
100 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
523K Replies
30M Views
Wadau wa Soka Napenda kuwataarifu kuwa nimekabidhiwa jukumu zito la kuwa Msemaji wa Klabu ya Singida Black Stars yenye maono makubwa na kuongoza Idara nyeti ya Habari na Mawasiliano. Nami nipo...
8 Reactions
25 Replies
150 Views
Mwanza/Dar. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linaendelea na uchunguzi juu ya tukio la kigogo mmoja wa juu ngazi ya mkoa wa kanda ya ziwa, kutuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wa chuo kikuu jijini Mwanza...
6 Reactions
225 Replies
3K Views
Tukiongelea Iphone huwa anatangaza new features ambazo Samsung wanazo 5 years back lakini utashangaa watumia iPhone wanajimwambafai na hizo features. Ukija Samsung wanatrendisha features za...
1 Reactions
2 Replies
66 Views
Kwakweli hii kitu imekuwa kawaida kabisa kwa sasa. Wadada wetu tena wengine kwa kupenda wenyewe kabisa wanaruhusu kufanyiwa mchezo huu. Najiuliza tatizo ni nini hasa? Ni mfumo wa maisha...
8 Reactions
256 Replies
40K Views
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee! Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho...
54 Reactions
332 Replies
11K Views
Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki. Lililonileta ni...
55 Reactions
209 Replies
4K Views
PDF mmelishuhudia bibie Zuhra OUT. Sasa ni zamu ya Kikeke. Pia soma Lakini kusema ukweli Zuhura hakutosha ile nafasi! Kitu pekee aliongeza ni Press tu, kwenye Branding alifeli Zuhura Yunus...
5 Reactions
79 Replies
4K Views
Habari wakuu Naomba kwa mwenye mchongo wa kazi kwa binti. Anaishi na bibi yake na bahati mbaya kapunguzwa kazin kwenye kampuni ya usafi na yeye ndio tegemeo kwa bibi yake. Yuko Mwanza Igoma ana...
0 Reactions
14 Replies
276 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,134
Posts
49,850,442
Back
Top Bottom