Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama kawaida yake uislamu ni dini ya haki na isiyotoa mwanya wa ujanja,utapeli na unyonyaji. Masheikh mbali mbali wameendelea kuweka wazi msimamo huo wa uislamu ambao umo kwenye Qur'an na suna za...
8 Reactions
52 Replies
1K Views
-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi...
7 Reactions
83 Replies
5K Views
Mheshimiwa Makonda, Salaam. Nataka nikupe pongezi zangu za dhati kwa kasi ya utendaji wako na jinsi unavyo lipigania taifa la Tanzania. Kuna watu wanafikiria tofauti na unavyo fikiria wewe. Wewe...
20 Reactions
60 Replies
1K Views
Wakuu nimejaribu kuangalia kwene website yao sioni hata sehemu ya kulog in.
3 Reactions
100 Replies
1K Views
Natamani some days itokee timu nyingine pale nafasi ya 1 na ya 2 isiwepo SSC wala Yanga, tukifika hiyo hatua ni wazi kuwa ligi yetu itakuwa ni bora. Timu kama Li SSC , sajili za mchongo, scouting...
1 Reactions
9 Replies
386 Views
Kuna watu wanamchukia mno Makonda, ndani mpaka nje ya chama. Labda ni kutokana na mambo yaliyotokea awamu ya 5. Chuki hii inawapofusha na kuwapumbaza watu. Inapelekea Makonda hata akifanya kitu...
8 Reactions
39 Replies
591 Views
Baada ya member wa JamiiForums.com kuripoti kuwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Rutabo hawapewi Chakula cha Kutosha kutokana na uhaba wa Chakula na kudai kuwa hatua hazichukuliwi, Serikali...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Job no: 497434 Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Geita Categories: Program Management/Implementation/Support ICAP at Columbia University, a global health leader situated within...
0 Reactions
2 Replies
88 Views
Nimeona sehemu kuwa utofauti wa mazingira ya kijijini unaweza kumuongezea mwajiriwa kigezo cha kuongezwa fedha ya mshahara. Naomba kuthibitisha kutoka kwenu.
1 Reactions
10 Replies
122 Views
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT. Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
19 Reactions
249 Replies
7K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,093
Posts
49,738,117
Back
Top Bottom