Lemme start by saying mapenzi shikamooo......After that, am looking for a broken girl just to gimme a company.
I want someone to chat with, someone I can explain what happened to...
Wanaukumbi.
Watanzania ambao wamejitolea michango yao na kuhamua kununua vyakula na madawa na misaada mingine kwa watu wa Palestina kama unavyoona hiyo picha wakiwa ndani ya Gaza bila kuogopa...
Huu uzi uwe wa kuwaumbua kwa ushahidi usio na mashaka wale wote wanaomtupia mawe Paul Makonda aliyejipambanua kama mtetezi wa wananchi wanyonge na pia kumpa maua yake, hivyo
Kama umewahi...
Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe...
Mkuu wa kitengo cha ujasusi wa Israel, Mosad ametishia mwendesha mshataka wa ICC asipoachana na mashtaka ya genocide mauaji ya alaiki dhidi ya Israel, personal security yake na wanafamilia yake...
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT.
Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
karibuni HUDUMA YA KUHAMA, mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mkoani.
Huduma zetu ni pamoja na;
[emoji117]kufunga na kufungua vitu tunapofika unapohamia
[emoji117]kupanga vitu mahala pake...
Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake...
BREAKING NEWS: Simba SC watashiriki Kombe la Shirikisho Msimu ujao baada ya kushika nafasi ya tatu kwenye Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Azam FC na Yanga SC watashiriki Klabu Bingwa Barani...
Mkuu wa Mkoa Paulo Makonda, amedai kwamba kuna watu 8 wamelipwa hela ndogo ya mil 6 za madafu ili kumuwinda.
Bali Hakusema wakishamuwinda na kumdaka watamfanya nini.
Ujumbe wake huu hapa
---...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.