Ukiwa katika mrija awamu hii usipojenga usilaumu mtu. Ni mwendo wa kufyonza kuanzia TRA, SGR, halmashauri pamoja na ripoti za CAG kuwataja wafyonzaji. Mwaka mpya wa Fedha unarudia kufyonza upya...
Utafiti wa Hali ya UKIMWI nchini (Tanzania HIV Impact Survey - THIS 2022/23) umeonyesha kiwango cha maambukizi ya UKIMWI kwa watu wazima (miaka 15 na zaidi) kuwa kimepungua kutoka asilimia 4.9...
Habari wana Jukwaa,
Nataka kushiriki nanyi kisa changu. Mimi na mume wangu tulikuwa tunapendana sana, lakini kulikuwa na tatizo kubwa—hakuwa mwaminifu. Alikuwa akiendekeza wanawake wa nje ya ndoa...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Nimeona taarifa ktk mitandao na humu JF kuhusu Dr. Slaa kusema kisiwa cha Mafia kipo ktk mchakato wa kuuzwa
Kwa kifupi kisiwa cha mafia hakiwezi kuuzwa, wala kukodishwa kwa mwekezaji au nnchi...
Habari ya asubuhi.
Nimekutana na hiki kibonzo mtandaoni nikasema acha ni share
Wanaume wengi sasa wanalalamika wanawake wamekua na elements za u-masculine au wanaonesha ungangari lakini mnajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.