Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwanza picha linaanza Ile style yake ya mbuzi kagoma lahaula nusu nimwage ubongo wakuu nikajikuta nalia huku nauma meno wigi la nywele lake aisee huyu binti ni mnoma Sana aisee na kwenye kukatika...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Kuna taarifa ya ajali ambapo inasemekana lori limeigonga Coaster iliyotokea Tunduma kuja Mbeya eneo la Simike. Mchana huu. Inasemekana kuna vifo kadhaa. ---- Hii ajali imetokea leo mlima wa...
2 Reactions
33 Replies
245 Views
Hivi bado kuna haja ya kuendelea kuitumia hii salamu katika zama zetu hizi? Kwa lipi hasa? Katika misingi ya salamu zote kwa lugha zote duniani hakuna kitu chenye mfanano na "shikamoo". Ili...
16 Reactions
105 Replies
5K Views
Hawayuu wasomi wenzangu. Leo katika harakati zangu za hapa na pale za kutafuta mkate wa siku wakati natoka kufundisha subtopic ya quantum tunneling pale UD, Nikadandia daladala moja ya kwenda...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
https://youtu.be/kFNW1wHtL1A?si=SbwuXzbSFh34yICx
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako 1:Iphone kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa...
4 Reactions
9 Replies
47 Views
Mkutano huu pichani ni wa saa 4 asubuhi leo hii kwenye kijiji cha Ughandi, unaambiwa wananchi wengine wameingia mkutanoni na miswaki yao! Hili ndio jimbo linaloongozwa na mbunge anayeitwa...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
522K Replies
30M Views
Wakuu salama, Natumai MUNGU amewaamsha salama na tuko katika mapambano ya maisha! Kwa wale wagonjwa MUNGU awape wepesi mpone haraka. Wakuu nimekuja kwenu nina shida moja naamini vichwa humu...
9 Reactions
61 Replies
415 Views
Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki...
5 Reactions
35 Replies
570 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,445
Posts
49,802,344
Back
Top Bottom