Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
930 Reactions
1M Replies
42M Views
HIOOO N FEITH TOTO VS YANGA HUKOO ZNZ ALIPOFANYA HIVYO TUKAMPA DOSI PEMBEN N KIBU DENIS MECHI YA...VS YANGA ALIPORUDISHA IKAWA MOJA MOJA AKALETA DHARAU TUKA MUADHIBU #nisameheniibureeepls
0 Reactions
5 Replies
41 Views
Pichani Madonna na mtoto wake Banda aliye mchukua kwenye kituo cha watoto yatima nchini Malawi Akiwa na miezi 13 sasa amekuwa kijana mkubwa.
8 Reactions
48 Replies
2K Views
Kama heading inavyojieleza Mimi ni kijana wa kitanzania mpweke haswa sina marafiki in real life. Niko hapa kuomba urafiki na watu wapya ambao tutasaidiana Mambo mbalimbali. Anyone who is...
6 Reactions
71 Replies
414 Views
Siku moja baada ya kutoa taarifa inayoeleza masharti ya mkopo ambao Tanzania imeupokea kutoka Korea Kusini hivi karibuni. Shiriki la Habari la Sauti ya Marekani (VoA) limeibuka na kutafuta...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Uchunguzi wa kijasusi uliofanywa na BBC umegundua yafuatayo. 1) Mteja mtarajiwa hutumiwa meseji akiambiwa kwamba amechaguliwa kupata mkopo wa kiasi flani, hivyo afuate link ya ‘playstore’ ili...
13 Reactions
59 Replies
4K Views
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza kujenga Bandari ya Uvuvi ya Bagamoyo Kwa kushirikiana na Korea Kusini ambayo itagharimu Dola Milioni 156.5 ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 400 za...
2 Reactions
22 Replies
295 Views
Kuanzia unapotongoza mwanamke anakubebesha gharama zote ambazo alitakiwa kuwajibika mwenyewe au kugharamiwa na baba yake sasa hapa mwanaume akisalitiwa ndio yale yale ya msukuma na penny uko goba...
6 Reactions
36 Replies
341 Views
ABDU FATAH MUSSA MTANGAZAJI WA RADIO TEHRAN IRAN Ulikuwa mwaka wa 2000 Uchaguzi Mkuu wa Pili baada ya uchaguzi wa kwanza 1995. Niko Tanga. Sikumbuki vipi tulifahamiana lakini ninachokumbuka ni...
3 Reactions
15 Replies
188 Views
  • Suggestion
Ni wazi unakubaliana na mimi kuwa kwa asilimia kubwa watoto wengi wanaosoma shule za English medium ni watoto wanaojua kusoma na kuandika lugha ya kingereza kuliko wale wanaosoma shule za msingi...
6 Reactions
57 Replies
770 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,240
Posts
49,796,009
Back
Top Bottom