Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
522K Replies
30M Views
Mbaya zaidi anajikuna katikati ya mfereji. Halafu bila aibu anaenda kukuletea chakula na kulishika bakuli la mboga. Inatia kinyaa sana. Na hii tabia inatakiwa kupigwa stop.
10 Reactions
37 Replies
399 Views
Najua wengi mmepata Idea tofauti[emoji23] shida hii ya kuishi nyumba geti kali saa 3 usiku gate lishafungwa. Baby kanitext yupo nje na mimi nina hamu ya kumuona. Nikajiongeza nikaruka ukuta huyo...
22 Reactions
116 Replies
11K Views
Asalam aleykum...twende kwenye mada Kusali jumapili Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato. Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili...
9 Reactions
294 Replies
10K Views
Anyways turudi kwenye swala la msingi bhna ndugu zangu wahenga waliposema ukistaajabu ya musa waliona mbali. Si kuna danga nikalipata bana, tulikuatana tu kweye family event( walilelewa pamoja na...
30 Reactions
311 Replies
29K Views
Hii picha imenichekesha sana 🤣. Hivi kulikosekana kabisa chumba kingine kikubwa cha kutosha? Au ni viti ndo ambavyo vilikosekana? Anywho, mjinga mimi nina swali: hivi hao watu ambao huambatana...
30 Reactions
121 Replies
3K Views
Benki ya 'Access Microfinance Bank Tanzania (AMBT)' yenye makao makuu yake nchini Nigeria imeuzwa kwa kampuni ya kitanzania ya Selcom kama mwanahisa mkubwa zaidi na sasa itajulikana kama 'Selcom...
2 Reactions
15 Replies
365 Views
Niaje wadau. Long time. Mimi mzima kabisa. Mengi yamebadilika since last time I posted here. Anyways tuende direct kwenye mada. Wiki chache zilizopita nilikutana na mkaka hivi mitaa ya kwetu...
25 Reactions
318 Replies
16K Views
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation, Joseph Butiku amewaonya wanasiasa na wanachama wa CCM kuacha mara moja kampeni za kumchangia Rais Dkt. Samia Suluhu fomu ya kuwania nafasi...
13 Reactions
47 Replies
2K Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
44 Reactions
52K Replies
3M Views

FORUM STATS

Threads
1,860,287
Posts
49,797,593
Back
Top Bottom