Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mi hadi nachoka. Hawa jamaa bwana. Naikuta single cabin CIF $6,000 (mil 16) uko Beforward. Hafu eti ushuru sasa wa TRA mil 28 unalipa. Karibia mara mbili ya bei ya kununua. Gari ya kazi...
9 Reactions
27 Replies
537 Views
  • Suggestion
TANZANIA TUITAKAYO NA MAARIFA YA KUJITEGEMEA. Binadamu tunakabiliwa na changamoto kubwa za kimaisha ambazo zinahitaji suluhisho hasa katika masuala ya kiteknolojia. Ikiwa ni pamoja na jinsi ya...
0 Reactions
9 Replies
188 Views
  • Poll
BAYER 04 LEVERKUSEN VS ATALANTA BC Mabingwa wa bundesliga bayer leverkusen kumenyana na atalanta fainali ya ligi ya europa. Naomba kujua maoni yenu! Klabu gani itashinda Europa League...
5 Reactions
77 Replies
1K Views
Naagiza simu original China kama unataka kuagiza karibu (06877446471) Kama kuna yeyote anatamani kuagiza simu kutoka China. Simu original karibu uagize namimi. Namba zangu za simu ni 0687746471...
17 Reactions
216 Replies
8K Views
Ni moja ya mawaziri wako smart sana kichwani kuanzia decision mpaka Social life. Kwa muda mrefu nimemfuatilia huyu bwana kazi zake ama kwa hakika namuona mbali sana. TAMISEMI imekuwa bora sana...
1 Reactions
7 Replies
91 Views
Ndugu zangu Watanzania, Habari ni kuwa ndugu Lissu anatarajia kuondoka na kuihama CHADEMA muda wowote kuanzia sasa.hii ni baada ya kutoridhika na mwenendo na aina ya siasa zinazoendeshwa na ndugu...
8 Reactions
256 Replies
9K Views
Shwari? Ushawahi kuazimisha gari kumbe limerudishwa na deni bila kujua? Au umefika muda wa kulipa bima ushasahau? Basi tukumbushane: Kuangalia Deni la Trafick: TMS CHECK Kuangalia Bima ya...
3 Reactions
2 Replies
69 Views
Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko...
9 Reactions
70 Replies
2K Views
Salaam,Shalom!! Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali...
2 Reactions
10 Replies
48 Views
Nimejaribu kusikiliza anachozungumza lakini kama nashindwa kuelewa, ni MUKANDALA yule wa KIKOSI KAZI au ni mwingine? === Akitumia maandiko ya Jaji Ibrahim Juma (1998), Prof. Mukandala anaeleza...
2 Reactions
20 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,856,238
Posts
49,685,656
Back
Top Bottom