Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi...
29 Reactions
95 Replies
2K Views
Wachina ni wachapakazi sana, wabahili sana, wambea sana, wanapenda sana sigara lakini pia ni wezi sana. Ukipata kazi kwa wachina ujue utafanya kazi kweli kweli, iwe ni kiwandani, barabarani au...
4 Reactions
14 Replies
198 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Mkopo Tanzania uliopata huu wa masharti nafuu una riba ya asilimia 0.01, unalipwa kwa miaka 40, na una fungate (grace period) ya miaka 25. Yaani unaanza kulipa baada ya mwaka wa 26. Tanzania...
4 Reactions
11 Replies
272 Views
Mamia ya wananchi wamemiminika katika viwanja vya Ofisi za Halmashauri ya jiji la Dodoma kutatua madhila ya ardhi yanayowakabili ili watumie ardhi na muda wao kwa shughuli za kiuchumi kujiletea...
1 Reactions
5 Replies
103 Views
TUambiane jamani tujue
0 Reactions
11 Replies
14 Views
Salaam, Shalom!! Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri. Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu mko salama? Imewahi kutokea mara kadhaa mtu anachukuliwa na watu wanaojitambulisha kama polisi mwisho wa siku anaokotwa sehemu amekufa, wananchi wakisema waliomchukua ni polisi wanagoma...
1 Reactions
6 Replies
17 Views
Sio kwamba mnyama nyumbu alipenda kuzaliwa hana akili mbungani hapana ni nature tu iliamua kwa ujinga wake awe kitoewo rahisi kwa wanyama wengine. Hata sisi kwetu waafrika weusi nature tu imeamua...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wadau nawasalimu.Wakati TEC wametoa WARAKA BORA kuhusu Sakata la BANDARI kuna Watu Walijitokeza Majukwaani na kwenye Mitandao ya Kijamii kuwakejeli TEC kuwa Wanachanganya DINI na SIASA jambo...
6 Reactions
27 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,053
Posts
49,792,127
Back
Top Bottom