Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nina ndugu yangu kapata matokeo haya HIST-D GEO-C BIO-C ENGL-D CIV-C CHEM-C LITE-D KISW-C MATH-D Amepata Division III Point 23 hajasomea PHYSICS na amepangiwa chuo cha Human Resources Management...
1 Reactions
8 Replies
109 Views
Nyuki wa mama salaam, wazalendo mpo? Safari ya Korea imezaa imetunda bwana. Kumbe PhD ya Jeshima ilikuwa inatuandaa kwa jambo lenyewe. Inamaama Korea ndio wametuona wajinga kiasi hiki mpaka...
4 Reactions
33 Replies
863 Views
Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza...
3 Reactions
17 Replies
407 Views
Habari, wataalam na wenye uzoefu wa jambo hili naombeni muongozo katika jambo langu hili. Ili kujikwamua na ufukara uliokithiri Nilitaman kufanya biashara ya ufagaji.. Nilionelea nifanye ufagaji...
16 Reactions
127 Replies
5K Views
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli...
3 Reactions
163 Replies
3K Views
Kule X jamaa tayari kafuta taarifa zote za CHADEMA kabakiza hizi. Nahisi tatizo lako ni kumuunga mkono Tundu Lissu ndio sababu ukaletewa bilionea akung'oe. Wewe ni mtoto wa Kimasikini hizo...
8 Reactions
86 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Kichwa cha Habari kinaweza kisieleweke mpaka mtu atakaposoma ndani kwa Umakini na Utulivu. Ki kawaida tuna kasumba ya kutafuta wasaidizi wa kazi za nyumbani kwa njia za...
10 Reactions
28 Replies
6K Views
Karibuni kwenye mada. Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga. Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji...
33 Reactions
19K Replies
755K Views
Tanzania na Ethiopia zimesaini mikataba kadhaa na Korea Kusini kwa ajili ya kupata mikopo ya mabilioni ya dola kwa ajili ya maendeleo. Mikopo hiyo itaiwezesha Korea Kusini kupata fursa ya...
15 Reactions
139 Replies
4K Views
cha ajabu hadi leo nauli hazijatoka ata matangazo kwenye redio na tv hamna kuwajulisha wananchi mbalawa na kadogosa mlisema kweli au kamba ngoja tuone zimebaki siku 10 tu morogolo iwe saa 1 na...
2 Reactions
10 Replies
103 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,969
Posts
49,790,109
Back
Top Bottom