Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa...
21 Reactions
178 Replies
5K Views
NAIBU WAZIRI SILLO AKABIDHI MAGUNIA 10 YA MAHINDI KWA WAHANGA WA MAFURIKO MANYARA. Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Daniel Baran Sillo ametoa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na...
4 Reactions
18 Replies
397 Views
Nimetoa mahali mie sio muhusika huyu mtu anaomba ushauri wenu. Anaishi na mkewe na wameoana ila mke wake anamkasirikia maana huyu kaka analala kitanda kimoja na namama yake. Yeye amesema wala...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Vijana wengi tunachangamoto ya kupata kianziO au mtaji kwajili ya kuanzisha biashara ndogondogo masikani kwetu. Unaweza kutimiza Ndoto zako sasa na kujitengenezea kipato kikubwa kitakachokidhi...
5 Reactions
40 Replies
690 Views
ni vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba Mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa. sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao...
0 Reactions
2 Replies
29 Views
Kwema wanajf, Naomba kujuzwa taratibu gani za kufuata unapohitaji kuoa mke wa kiislamu, kijana wenu nahitaji kuoa aisee nasikia ndoa tamu sana. NB, wale kataa ndoa msichangie
3 Reactions
7 Replies
98 Views
Hii...kwakweli ni AIBU Sana na tuna create taifa masikini na OMBA OMBA pale ambapo katika Population ya watu milioni 61 wanaolipa kodi ni ni milioni 3 tu. Unajua hadi inatia woga hata kule...
5 Reactions
23 Replies
161 Views
Mwalimu, kwa viwango na kipimo chochote kile, alikuwa kiongozi mwenye upeo na uelewa mkubwa kuliko Rais yeyote aliyefuata baada yake. Alifanya mambo makubwa sana kwa kuzingatia wakati wake. Kosa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,533
Posts
49,665,583
Back
Top Bottom