Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadau Wanasheria naomba msaada wenu juu ya hatua za kuichukulia Halmashauri iliyokataa kutekeleza HUKUMU ya MAHAKAMA KUU ya Mgogoro wa kiwanja. Baada ya Kushinda Kesi nilimwandikia Mkurugenzi wa...
2 Reactions
12 Replies
377 Views
Mzuka Wanajamvi! Wanajamvi nakuja kwenu kuwaomba mnisaidie kuchagua kati ya haya majina niliyoyaoroshesha ni lipi? Nataka kubadilisha majina. Nataka tu moja kutoka kwenye hii orodha chini. 1...
4 Reactions
15 Replies
120 Views
Wanabodi Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel...
5 Reactions
53 Replies
810 Views
Dr Hussein Mwinyi mhitimu wa Degree ya uzamivu inayohusiana na mwili wa binadamu ni physician mbobezi kabisa ni mtu makini anayejituma mpenda haki, mtulivu asiye na makundi anachojua ni...
0 Reactions
7 Replies
156 Views
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
20 Reactions
681 Replies
18K Views
TOYOTA COROLLA RUMION Color: BLACK Mileage: 58800 km Steering: Right Transmission: AT General Fuel: GASOLINE Drive System; 2WD Doors: 5DD Displacement: 1490cc CIF PRICE; 16 m Music system: Android...
0 Reactions
11 Replies
980 Views
Salaam, Shalom!! Miaka ya zamani kidogo nilikuwa katika Taasisi Moja kubwa, Kuna kiongozi mmoja kazini akanialika twende tukapate supu ya mbuzi, Tulipofikia eneo lile kumbe Bana, supu ya mbuzi...
38 Reactions
199 Replies
4K Views
Nduguzangu leo nimerudi nyumbani jioni nimemaliza kula nikawa naangalia movie sasa chumbani kwangu huwa kuna panya nikawa nimemuingiza paka ili awinde sasa mkewangu huwa hapendi japo nilisha...
3 Reactions
14 Replies
153 Views
Fikiri mara mbili kabla hujaamua kufuga mbwa hawa nyumbani kwako. Airedale Terrier Airedale Terriers ni mbwa wanaopenda kujitegemea na kuwa huru. Ni mbwa wenye akili sana lakini ni wasumbufu...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend. Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya. Mimi Ni mwanamke Nina miaka 32 Nimeolewa ndoa ya...
46 Reactions
1K Replies
55K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,305
Posts
49,657,653
Back
Top Bottom