Alipenda sana kutukana watu hadharani. Aliwahi kumrushia maneno makali na machafu mama huyu aliyelelewa kwa maadili ya kidini . Hakuyapenda na yalimkerehesha sana. Akasusa. Kazi kubwa sana...
Mbunge wa Babati mjini Pauline Gekul amesema wananchi wa Mkoa wa Manyara wamekuwa wakihoji kwanini mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB imeondolewa Mkoani Babati na kupelekwa Uwanja wa...
Mimi ni mzaliwa wa mwisho kati ya watoto tisa, wanaume watano na wanawake wanne
Wakati mzee wetu anaandika urithi aliandikia wanaume wanne tu akaagiza shamba ligawe mara nne tu wakati mimi ni...
Amani iwe kwenu,
Ufuta ni zao moja zuri sana kibiashara, hapa nilipo ni nimevuna takribani gunia kama 20 ivi.
Uliko bei ya ufuta ikoje?, ili tuangalie soko sehemu nzuri.
Salaam, Shalom!!
Wakati tukiendelea na maigizo ya kijana wa chama Fulani, Wananchi makini, wazalendo tusiokubali KUCHUKULIWA na upepo wa maigizo tumeendelea kuangalia Kwa makini ISSUES nyeti...
uhuni, ubabe, bangi na ujeuri ni vitu vinvyokuwa glorified sana Arusha.
Uhai wa mtu ni very cheap sana
huko Arusha.
Kwa sisi tuliosoma miaka hiyo maeneo ya kanda ya kaskazini tunaelewa jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.