Mtoto mdogo anayedaiwa kuwa alikuwa ni mwanafunzi wa darasa la 6 Shule ya msingi Malamba Mawili amejinyonga eneo la Msikitini.
Mwili huo umegunduliwa ukining'inia chini ya mti mbele ya nyumba ya...
400 hundred years of slavery ya mtu mweusi katika ardhi ya marekani na visiwa vya carribean.
Miaka mia kadhaa ya utumwa na ukandamizaji wa kiovu katika bara la Afrika.
Naelewa katika process ya...
Mhe David Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchi PPP amewatoa hofu Watanzania kuwa Serikali yao ya awamu sita ina nia na dhamira njema dhidi yao.
Kafulila akihojiwa Katika kipindi Cha amesema...
Magari hayo ni ya kimkakati na kazi maalumu. Yatasambazwa kwenye kila kanda, katika kanda zote za kichama nchi nzima. Magari haya yatakua chini ya usimamizi wa viongozi waandamizi wa kanda...
KAMA ULIKUWA HUJUI...
Nchi ya Latvia ina idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume katika bara lote la ulaya
Wanawake ni asilimia 17 zaidi ya idadi ya wanaume
Yaan kwenye wanawake 117 kwa...
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii.
Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa...
Habari za asubuhi mabibi na mabwana, ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Naomba kuuliza Kwa wenyeji wa Tabora na maeneo mengne ya Tanzania mwenye uelewa kuhusu huu mgodi upo maeneo gani...
Haya ni maisha ya kawaida kwa mikoa iliyo mingi hapa Tanzania labda ukiiondoa Dar pekee.
Maisha ya mikoani ni full kufatiliana wajue unafanya nini au unapanga kufanya nini na lengo sio kusaidia...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.