Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari zenu wajuvi, naombeni msaada kama kuna mtu (watu) amesha wahikupona vipele vya ndevu vile vinavyo otaga maeneo ya shingo anisaidie yeye alitumia dawa gani kuvimaliza. Kwasababu vimenitesa...
1 Reactions
5 Replies
22 Views
Wakuu mpo salama? Twende moja kwa moja kwenye mada. Wakuu, haya mabango mawili ni shughuli mbili tofauti ambapo serikali ilialikwa na wadau kushiriki kwenye shughulii hizi. Hii ya kwanza ilikuwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Tunafahamu juhudi za serikali katika kuhakikisha watoto wote wanaotoka katika familia duni wanapata elimu na ndio maana serikali ilisema marufuku michango ya aina yoyote katika shule za serikali...
4 Reactions
80 Replies
694 Views
  • Sticky
Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters. The club formed in 1902. Stadium: Santiago Bernabéu...
39 Reactions
51K Replies
2M Views
QURAN. Allah alichagua manabii wengi kutokea ndani ya wayahudi akiwemo Musa licha ya wayahudi kuwaua mara kadhaa ila Allah alipenda wawe wayahudi Allah aliwaokoa utumwani wakiwa misri, Farao...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani. Mnapiga na picha na...
20 Reactions
191 Replies
3K Views
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka. Tena kibaya zaidi Rais wa Norway...
6 Reactions
48 Replies
736 Views
yaani CCM imeambatana na kuandamana sambamba na dhamira njema ya maendeleo kwa wanaichi wake, kisiasa kijamii na kiuchmi..... inapendwa mno, viongozi wake wanakubalika sana aise.... hakuna namna...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kumekuwa na mtindo wa kudai nafasi za Uongozi ktk serikali ya Muungano kati ya dini mbili; waislamu na wakristu. Kuna watu hadi hutoa hesabu kati ya dini hizi mbili. Ni dalili ya udini ndo inaleta...
0 Reactions
5 Replies
9 Views
Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
2 Reactions
334 Replies
21K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,960
Posts
49,678,271
Back
Top Bottom