Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Taarifa za chini ya capet ni kwamba, taratibu za awali zimeshakamilika ikiwa ni pamoja na jina la chama, rangi za chama, nembo pamoja na logo ya chama. Majibu ya msajili yatatoa uelekeo. Nyuma ya...
6 Reactions
85 Replies
2K Views
Jeshi la IDF linaendelea na Kazi ya kutafuta Mateka kila kona ya mji wa Rafah.. mwendo ni kata funua hadi kieleweke. Masikitiko sana kupata Mateka wakiwa hai.. South Africa na Uturuki wanaona...
5 Reactions
39 Replies
784 Views
Wakuu kwema? Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza. Mimi nimeoa, mke mzuri na mrembo hasa. Ila cha kushangaza, ktk kipindi cha miezi miwili hivi, nimejikuta natamani sana pisi za pembeni, hata...
6 Reactions
24 Replies
171 Views
Wimbo wameimbia mshikaji na demu unapoanza anaanza kuimba dada anasema "ana stress siku mbili hajala" sina hakika kama nimepatia. Ahsanteni
1 Reactions
52 Replies
533 Views
Maraisi wastaafu wa USA wanafungua maktaba tena kwa kuchangiwa wa watu. Wapendwa wetu maraisi wazalendo eti wanataka kujengewa nyumba kama Ikulu na wenza wao kulipwa. Hawajali hali ya wananchi...
4 Reactions
1 Replies
10 Views
Liza Anasema alifanya makosa kingine utoto Tu anasema nilikua mwanaume sahihi kwake mi sijui....... Usikite mbele nami ningekua kivuruge Anasema nimsamehe Sana akili za kitoto Tu zile maisha...
1 Reactions
1 Replies
4 Views
1. Usipende kuongea kama utani madhaifu ya marafiki zako au jirani ili ufurahishe watu 2. Hakikisha unasalimia majirani hata kama huna story nao 3. Hakikisha unaanza kusalimia watu unaowakuta...
31 Reactions
38 Replies
763 Views
Mimi mtanisamehe jamami, ngoja niseme tu najua mtanishambulia potelea mbali Leo kwenye junction, taa za green ziliwaka kuturuhusu, nyuma kuna magari zaidi ya 30, jamaa mbele yetu katangulia ...
2 Reactions
4 Replies
48 Views
Iko hivi, nina biashara ambayo niliifungua kupitia familia, wakati huo nilikuwa bize na shule na umri haukuruhusu kupewa nyaraka na gavoo, pia familia hawakutaka nijihusishe na side hustle ila...
2 Reactions
21 Replies
335 Views
Natumai wote mnaendelea vizuri na kwa ambao mko na changamoto Mungu awafanyie wepesi mrudi kwenye hali zenu za kawaida nawaombea🤲🏽🤲🏽.. Najua sio jukwaa husika lakini nimeliweka hapa kwasababu ni...
24 Reactions
75 Replies
709 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,725
Posts
49,639,158
Back
Top Bottom