Sisi watumishi wa sekta ya umma na binafsi tunaofanyaia kazi Mkoani Kigoma tunaishi kwa mabavu, wenyeji wanatupiga vita sana.
Wenyeji wa huku wana roho chafu na ya kupinga maendeleo ya wengine...
i have been looking for an app in app store. with all the league stats, news and players, including clips
any leads? au hatuna wasomi? maana TFF NA KALIA NI VILAZA this i know.
Kwanza, nyuzi kama hizi ni muhimu sana katika jamii ili kuelimisha na kukumbushana juu ya hali halisi za Maisha, UKIMWI UPO NA UNAUA. Huu ni ukweli ambao kila mtu anapaswa kuujua ya kwamba, UKIMWI...
Nakupingeza sana samia kuifanya nchi kuwa kivutio cha uwekeza nje ya africa n africa kwa ujumla.
Nasikiliza hapa dw kuna majadala wa wa mazingir ya biashara kenya. Wachangiaji wamewaka hapa...
Kuna video ya CCTV imesambaa wiki hii ya mwaka 2016 ambapo Sean Combs Diddy a.k.a Msomali anaonekana akimtandika malaya Cassie kama mbwa mwizi hotel aliyokuwa anammega.
Iko hivi wakuu na hili...
Kuna Hali Fulani nchi inalazimishwa kuwadekeza wanawake ! Au kuwafanya wajihisi kama ni kundi la kuonewa huruma yaani walemavu!! Kila mahali wanataka huruma !! Hata uchaguzi ujao wanatumia misemo...
Naomba leo anayejua anieleweshe hapa, kwa nia nzuri kabisa. Yesu alisema tuombe kwa kupitia Jina lake, inakuwaje watu wanaomba kupitia maria? naangalia tumaini tv hapa padre akasema tuombe kwa...
Kwa wiki iliyopita mitandaoni hasa Instagram na Twitter kuliibuka mjadala mkali ikiwemo vita ya maneno miongoni mwa wafanyabiashara wa mjini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara walimtupia...
Kwa ukaidi wa hali ya juu jeshi la Israel limesema litaingia Rafah ili kuwamaliza Hamas.Hata hivyo vijana wa Hamas wameonekana kujikushanya maeneo mengine mengi ya Gaza wakitoa upinzani mkali kwa...
Nimepata mchumba na nimekua nae kwenye mahusiano ya uchumba mwaka sasa,nahitaji kumpeleka nyumbani ila kikwazo inakua dini zetu tofauti
Nifanyeje ili hali tunapendana sana ila dini inakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.