Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni miezi takribani 2 sijaona andiko lolote kutoka kwa Mshana vipi, mwenye taarifa atugaie. Huyu mtu tunaye au hatunaye?
6 Reactions
37 Replies
598 Views
Salaam sna wna jf familia yetu pendwa.......! Mim ni kijana wa umri wa miaka 33 bado sijaoa nina harakat zngy t za mjini znazonfnya naendlea kuish vzr tu kw mapenz ya mung kwnye hii nchi yetu ya...
1 Reactions
11 Replies
134 Views
Kumbe Mzilankende Magufuli alikuwa hakubaliki na alikataliwa Hadi kwao ?😁😁😁 My Take: Chadema acheni kutoa Siri za Wakubwa , yaani mumejua kunifurahisha 😂😂 ==== CHAMA cha Demokrasia na...
5 Reactions
49 Replies
910 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
516K Replies
30M Views
Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Habari zenu wakuu, najua huku Kuna watu Wana uelewa zaidi katika hili. Nimeshangazwa na Polisi mwenye cheo kama DCP uwa RPC, hali ya Kuwa kuna polisi ni ACP au SACP ni RPCs tena wengine ni ZPC...
2 Reactions
26 Replies
764 Views
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
78 Reactions
480 Replies
15K Views
Katika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF. Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu. Unajiuliza nini hiki sasa. Sio mbaya kujaribu pengine...
15 Reactions
116 Replies
929 Views
Kiukweli akili za Chadema wanazijuaga wao wenyewe yaani ni Ndumilakuwili haswa Wanasema Rais ni mzanzibar na kusahau wao walimkata Mtanganyika pale Kinondoni kwenye Uchaguzi mdogo na kulazimisha...
1 Reactions
30 Replies
278 Views
Shalom, Tuunduiz Lissua myopia hawazungumzii haya mazito Nasikitika kusema kwamba mambo ya muungano yalikuwa 22 na hakuna kikao halali cha Bunge la muungano kimeondoa baadhi ya mambo ya...
1 Reactions
11 Replies
148 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,164
Posts
49,624,479
Back
Top Bottom