Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wanajamvi Ninatafuta dalali/mfanyanoashara wa mbuzi mkoani Tabora kwa yeyote anayeweza kunisaidia kwa hilo nitashukuru sana. Tuwasiliane 0788303079
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kumbe Mzilankende Magufuli alikuwa hakubaliki Hadi kwao 😁😁😁 My Take: Chadema acheni kutoa Siri za Wakubwa 😂😂 ==== CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeeleza nia yake ya kulitwaa...
5 Reactions
39 Replies
784 Views
Mchina ana kazi nzito haswa dhidi ya marekani. Hapa ni Biden amepitisha furushi hili. I just imposed a series of tariffs on goods made in China: 25% on steel and aluminum, 50% on...
14 Reactions
144 Replies
4K Views
A
Anonymous
Barabara ya External kwenda Majichumvi eneo la Migombani (Majichumvi) inayopita OBAMA BAR kuanzia Ofisi ya Serikali ya Mtaa Mianzini kutokezea njia Panda ya Bonyokwa na Segerea inatutesa sana...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Akiwa anahojiwa kutoka katika televisheni ya Wasafi (Wasafi TV) Waziri Nape amesema kuwa serikali haina matatizo na Starlink, kinachofanya washindwe kutoa huduma zao nchini ni sababu...
8 Reactions
44 Replies
774 Views
Rejeeni andiko hili hapa e-GA inahujumiwa njama za kuhujumu eGA Mipango yakuiua ega ilianza toka zamani ,maswali ya msingi haya nani ana majibu yake 1.Kwa nini wanaitoa wizara ya utumishi? 2.Kama...
4 Reactions
26 Replies
659 Views
Je, ulishawahi kujiuliza kwanini wahudumu wote wa mlimani city ni pisi kali? Kwanini asilimia kubwa ya wahudumu wa ndege (air hostes) ni pisi kali? Kwanini wahudumu wa Baa asilimia kubwa ni pisi...
6 Reactions
26 Replies
544 Views
Wakuu, Tufahamu kwamba Simba ndie mfalme wa nyika, ana uwezo wa kuwinda chochote kile na akafanikiwa hata Kama kinamzidi umbo na Nguvu. Nnachojiuliza, Kwanini huwa hawawindi FARU na kuwatumia...
7 Reactions
50 Replies
2K Views
Mtanzania, Denis Mfumbulwa (44) anayedaiwa kujipatia huduma ya kula katika Hoteli ya Serena bila kulipa, ameachiwa huru katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es salaam kwa sababu hakuna...
10 Reactions
59 Replies
2K Views
Ukisikia kukurupuka ndio huku sasa. Watu washashindwa sasa unafafanua kitu gani? ======= "Katika mzunguko wao (CHADEMA) hapa nchini wamekuwa na hoja zifuatazo, hoja ya kwanza (1)...
2 Reactions
18 Replies
344 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,151
Posts
49,623,912
Back
Top Bottom