Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Akiwa anahojiwa kutoka katika televisheni ya Wasafi (Wasafi TV) Waziri Nape amesema kuwa serikali haina matatizo na Starlink, kinachofanya washindwe kutoa huduma zao nchini ni sababu...
2 Reactions
18 Replies
192 Views
Sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
18 Reactions
137 Replies
2K Views
Wakuu Heshima mbele. Mimi binafsi kwanza niseme ni mtu ambaye napenda sana kusoma historia tofauti tofauti. Nimekuwa nikivutiwa na mzee wangu Mohamed Said katika maandiko yake mengi, mzee Mohamed...
11 Reactions
108 Replies
1K Views
Habari wakubwa hii leo nakupa hii ya bure kabisaa Uliza swali kama hujaelewa Twende pamoja Jinsi ya Kuchagua Speakers Bora kwa Kufurahia Muziki Kwa wapenzi wa muziki, kuchagua speakers ni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mchina ana kazi nzito haswa dhidi ya marekani. Hapa ni Biden amepitisha furushi hili. I just imposed a series of tariffs on goods made in China: 25% on steel and aluminum, 50% on...
10 Reactions
116 Replies
3K Views
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
63 Reactions
363 Replies
9K Views
Ni mwaka gani yalisemwa hayo maneno? Na msemaji wake ni nani? Je kilichosemwa kilitokea kweli? Na je Msemaji ni mtu mwema kweli?
1 Reactions
6 Replies
105 Views
Ghorofa Inauzwa. Eneo: Mtoni Kijichi Ukubwa: Sqm 1250 Nyaraka: Ina Hati Miliki. Ina vyumba vinne(4), master bedrooms 2, sitting room, dining room, kitchen na public toilet. Pia Kuna boycota...
1 Reactions
3 Replies
28 Views
Enzi za ‘zidumu fikra za mwenyekiti ‘ hazipo tena. Tunapaswa kuacha kuvhukua Nukuu zake ili zitumike kama reference huko Bungeni. Socialism, Poor Education, Setup mbovu ya muungano, lack of...
11 Reactions
58 Replies
1K Views
Kwa wataalam wa bajeti na masuala ya uchumi, ni waziri gani wa fedha amewahi kukopa fedha nyingi kwa muda wa miaka mitatu ya uongozi wake kama Mwigulu Nchemba? Kukopa siyo tatizo, je mikopo hii...
1 Reactions
11 Replies
187 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,006
Posts
49,619,898
Back
Top Bottom