Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Leo nimezungukwa dodom mjini kuna mwanadada anataka fremu ya biashra zake za ujenzi SAS kila nyumba tunayopata inakaliwa ama inamilikiwa na Waislamu Hadi mwenyewe akashanga imekuaje hi mbna...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Habari wanajukwaa, Leo nimeona niwaelezee smartphone ilivyonipeleka polisi katika kituo ca msimbazi then njkahamishwa hadi kituo cha Mbweni kilichopo Bagamoyo Road, nisiwachoshe ngoja niende...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Mwanafalsafa, mchumi na mwanasiasa wa India ya kale, Chanakya aliwahi kusema, “There is some self-interest behind every friendship. There is no friendship without self-interests. This is a bitter...
3 Reactions
26 Replies
733 Views
Maono na kiu ya watanzania wengi kuona viwanda vikishamiri ktk nchi yetu.Na pia Ni Maono na kiu ya Mh Rais wetu kuendelea kuzindua viwanda vikubwa vya kimkakati hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi...
3 Reactions
15 Replies
383 Views
Rais Samia huyoo? Sasa hivi kaenda Ufaransa! Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri. Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali...
1 Reactions
37 Replies
793 Views
Kutokana na changamoto za waendesha Pikipiki, nimeona niwakumbushe tena kwani wengi hufanya mzaha barabarani bila kujua kuwa Mwili wao ndio bodi ya pikipiki! 1. Usikae ubavuni mwa gari, kwa...
10 Reactions
30 Replies
661 Views
Ndugu Janabi amekua akitoa ushauri Tata kuhusu lishe,Hali iliyowafanya watanzania wengi kubaki njia panda. Nataka niwaambie ndugu zangu watanzania Huyu Janabi sio wa kwanza, miaka ya nyuma Kuna...
9 Reactions
22 Replies
716 Views
Alphard for sale, year 2004,cc 2360, 2AZ engine, petrol, 68,000km, black color, Double sunroof, clean condition, automatic 0764423726 for more pictures
0 Reactions
5 Replies
115 Views
Aiseeeee habari za leo wazee......... Huyu jirani yangu ana watoto wawili mmoja yuko darasa la tano mwingine yuko darasa la pili, ni mdada wa makamo shughuli yake kuu ni kupika vitafunwa asubuhi...
4 Reactions
21 Replies
238 Views
Position: Electrical Technician Vacancies: Two (2) Workplace: Bagamoyo Date: 08/05/2024 DUTIES/RESPONSIBILITIES Attending plant preventive and corrective maintenance Attending power receiving and...
0 Reactions
1 Replies
10 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,712
Posts
49,611,733
Back
Top Bottom