Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mkazi wa Dar es Salaam, Denis Mfumbulwa mwenye miaka 44 mkazi wa Goba Kulangwa amefikishwa mahakama ya mwanzo ya Kariakoo akidaiwa kujipatia malazi na chakula kwenye hoteli ya Serena kitapeli...
32 Reactions
65 Replies
3K Views
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ; Dar es Salaam Mwanza Tanga Mbeya Arusha Dodoma Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa...
3 Reactions
39 Replies
770 Views
Kwema Wadau? Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu...
7 Reactions
69 Replies
714 Views
KWA MAOMBI TULIOFANYA LEO ALIEPIGA FAMILIA YAKO NDOA YAKO NA SASA UNATESEKAAA KATIKA JINA LA YESU ALIEHAI NINAEMWAMINI AKAPIGWE NA FAMILIA AKATESEKE NA KIZAZI CHAKE CHOTEEE YALE ALIOPANGA...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Jamaa naona anaimba Pure Swahili Gospel kali sana ni muimbaji mzuri sana na anachonifurahisha ameacha lugha yake ya kinyarwanda kakichagua kiswahili kufikisha ujumbe wake last time nilijua ni...
7 Reactions
48 Replies
1K Views
Nisikuchoshe usinichoshe, bila kumsifu mama wala chama hata kama una masters, degree au diploma of honor Yani GPA ya nne ma straight A's huku mtaani ni laana tu kwanza unakuwa case study pili...
12 Reactions
51 Replies
592 Views
Tunakumbushana tu points muhimu kwamba Usawa unapimwa pia kwa Usajili wa UN siyo Idadi ya watu pekee. Ahsanteni sana 🐼
4 Reactions
67 Replies
1K Views
Huwezi ita swala la internet jina zuri hivyo halafu kumbe hata internet yenyewe huimiliki. Taifa la watu zaidi ya milioni 50 tunashindwa kuwa na internet yetu wenyewe? Akitokea kichaa mmoja tu...
1 Reactions
11 Replies
281 Views
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development) Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani...
8 Reactions
63 Replies
2K Views
Alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani mwaka 2016, na kuingia Ikulu 20/01/2017 baada ya kula kiapo. Katika kipindi cha uongozi wake, alifanya mengi, yakiwemo yaliyowafurahisha na yaliyowakwaza...
11 Reactions
86 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,644
Posts
49,609,792
Back
Top Bottom