Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria. Amedai utafiti...
4 Reactions
65 Replies
2K Views
Basi zinauzwa Namba D Injini_Scania F310 Gearbox_scania ya gia 6 Mbele Disc brake Siti_52 Body_Gemilang malaysia Usb charging ports zipo Bei Tzsh 45,000,000/= kwa kila moja Matairi utanunua...
0 Reactions
1 Replies
45 Views
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri. Kazi iendelee. Mama Samia, wakazi na wapiga kura wako wa GOBA Njia ya Tegeta A kuelekea madawa na njia ya Tegeta A kuelekea kulangwa kupitia makanisa ya Katoliki...
2 Reactions
56 Replies
971 Views
Dar es Salaam - 13,719 Shinyanga - 12,300 Mara - 9,823 Mwanza - 9,242 Geita - 7,697 Kigoma - 7,544 Kagera - 7496 Tabora - 7,471 Ruvuma - 7,425 Tanga - 6,827 Chanzo: Wizara ya Afya
3 Reactions
18 Replies
474 Views
Rais Bola Tinubu ameagiza mashirika yote ya serikali kununua magari yanayotumia gesi pekee kama sehemu ya juhudi za nchi hiyo za kuhamisisha na kuhamia katika matumizi ya nishati safi na kupunguza...
0 Reactions
2 Replies
253 Views
Mzuka wanajamvi Nipo hapa naandaa script ya movie bonge la movie ambayo itateka gumzo la kila mtu nchini. Jina la movie Muuza madafu encounter freedom. Ni hivi. Inaanza magaidi kutoka msumbiji...
10 Reactions
50 Replies
598 Views
Jamaa wanatengeneza makubaliano kuwa mwaka 2030 wakati Dr. Lameck Madelu Mwingulu Nchemba anakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bwana Ally Happi anakuwa Mbunge wa Iramba na anateuliwa...
1 Reactions
15 Replies
732 Views
Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi . Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending. Acha kulalamika. Wanawake wengi ambao...
8 Reactions
8 Replies
44 Views
Sababu 3 kwa nini dola haiwezi kuondolewa kama sarafu kuu duniani. Hadhi ya dola kama sarafu kuu ya benki kuu na kwa biashara ya kimataifa pengine haififii hivi karibuni, kulingana na Morgan...
1 Reactions
7 Replies
310 Views
Sikuwahi kuiona hii, After almost nine years I now see it. Kumbe mambo enzi hizo yalikuwa ni mambo kweli kweli!
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,726
Posts
49,612,150
Back
Top Bottom