Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Patriarchy ni mfumo dume mfume huu asilimia kubwa ya maamuzi na umiliki unakuwa chini ya mwanaume,huu ni mfumo wa kijamii ambao unaoperate katika nyanja zote za uchumi,siasa na sekta zengine...
0 Reactions
2 Replies
12 Views
Kama umekosa huduma ya intaneti kwa saa kadhaa leo, tambua shida sio kifaa unachotumia bali ni tatizo la kiufundi lililotokea kwenye miundombinu ya intaneti iliyopitishwa baharini. Mkurugenzi...
6 Reactions
72 Replies
4K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu amewasilisha ushahidi wake wa tuhuma za viongozi kupenyezewa rushwa na Matajiri wa CCM. Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe atalitolea tamko...
5 Reactions
72 Replies
3K Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
137K Replies
9M Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Vikao vya Kamati Kuu ya Chadema, ambayo sasa imedhihirika kwamba ndio Chama cha Siasa chenye Wanachama wengi zaidi Nchini Tanzania ( inatajwa kuwa na...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Tunakumbushana tu points muhimu kwamba Usawa unapimwa pia kwa Usajili wa UN Siyo Idadi ya watu pekee Ahsanteni sana 🐼
0 Reactions
8 Replies
32 Views
Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni...
2 Reactions
17 Replies
125 Views
Waziri wa Habari na Mawasiliano ndugu Napelape Nnauye ndiye anapaswa kulaumiwa kwa kutokuwa na internet ya uhakika nchini kwani waziri huyu aliikataa kampuni ya Mmarekani tajiri zaidi duniani...
0 Reactions
1 Replies
68 Views
Wasalaam, Sehemu kubwa ya jamii haijui sheria mbalimbali hivyo, hushindwa kuchukua hatua dhidi ya wanaovunja sheria hizo na kuharibu ustawi wa jamii ya makundi yote. Kusambaza maudhui mbalimbali...
13 Reactions
29 Replies
191 Views
Zama hizi, utambulisho mkubwa wa CCM kwa jamii ni UOVU. CCM inaonekana ni chama ambacho kipo kwaajili ya kujenga, kulinda na kuendeleza uovu na waovu: 1. UKOSEFU WA UZALENDO: Watuhumiwa wote wa...
0 Reactions
2 Replies
14 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,506
Posts
49,606,070
Back
Top Bottom