Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari, nasumbuliwa sana na mingurumo kwenye tumbo na tumbo linaniuma sana, nimetumia dawa nyingi hospital lkn bado, naombeni ushauri ni dawa gani mzr itanisaidiaa ndg zangu
1 Reactions
11 Replies
166 Views
Nilimuoa mke wangu miaka 25 iliyopita akiwa na watoto wawili wa kiume aliowapata kwenye ndoa yake ya awali. Niliwapenda sana wale watoto na kuwachukulia kama watoto wangu kabisa na hakuna...
10 Reactions
46 Replies
1K Views
Mbinu za hali ya juu zinazotumiwa na wapiganaji wa Hamas kupambana na askari wa Israel wanaoelekea kuivamia Rafah,zimeelezwa na wachambuzi wa kuvita kuwa wapiganji hao bado wamejipanga kuendelea...
2 Reactions
28 Replies
969 Views
Ghorofa Inauzwa. Ina Floor 7 Eneo: Ipo Mtaa wa India, Opposite na J.M.Mall Posta. Nyaraka: Ina hati miliki. Bei: Dola Milioni 1.5. @prathlimited Mawasiliano: 0767 833345 0784 829565
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Natafuta kazi ndugu zangu mwenye connection ya kazi nina uzoefu wa miaka miwili Civil technician Foreman Lab technician CAD technician
0 Reactions
0 Replies
1 Views
kikikufaa njoo tufanye biashara pia bei kinauzwaje?
1 Reactions
5 Replies
40 Views
Kwa muundo wa Muungano wetu, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu, mkweli wa nafsi na asiye mnafiki, anayeweza kutetea kuwa muundo huu uliopo upo sawa sawa. Ndiyo maana watu wote maarufu, wenye...
8 Reactions
58 Replies
1K Views
Mimi ni IT expert Nina experience ya hii field miaka mitano sasa Nina uzoefu wa nyanja mbali mbali Kama Networking, IT SUPPORT ,Security system, System developer kama kuna ajira yoyote kuhusu IT...
4 Reactions
21 Replies
328 Views
We warned but were never listened to,infact we were ridiculed.Our beloved Magufuli also warned,but was never listened to and infact that very thing took his life.Gwajima warned with tears,but was...
2 Reactions
40 Replies
771 Views
Habari, Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaada.
2 Reactions
27 Replies
463 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,515
Posts
49,606,411
Back
Top Bottom