Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii tImu Nilianza Kuipenda mwaka 1998 nikiwa Shule ya vidudu,Bi mkubwa alinunua Jezi number 7 mgongoni Imeandikwa Cantona,Kaka zangu wakawa wananipa story za Cantona,Tangu hapo nikawa mpenzi wa...
1 Reactions
13 Replies
193 Views
Siku zote tunapowasifia Wazungu humu kwa Mambo mbalimbali, ikiwemo na ile Misaada ya Hali na Mali wanayotupa, Wajinga Wanatushambulia, kwa hoja kwamba tunawasujudia mabeberu. Haya tuwaulizeni...
22 Reactions
63 Replies
2K Views
Niliposoma Vitabu Kadhaa Vinavyoelezea MAPEPO (Demons) Kikiwemo Kile Cha Dag Hewald Mills Kinachoitwa "Demons And How To Deal With Them" Nilijifunza Kuwa Kumbe Mapepo Yamegawanyika Kulingana na...
14 Reactions
63 Replies
2K Views
Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers...
48 Reactions
1K Replies
64K Views
Bado kuna umuhimu wa back up ya Hardcopy katika maswala yote ya kiserikali na kijamii ili kuepuka kusimama kwa huduma na mengineyo. Hili ni somo kubwa kwa wanausalama nchini. KWA HISANI YA MTU...
2 Reactions
2 Replies
76 Views
Wakuu salama? Aisee aiseee kimenuka tiyari hapa nyumbani kwangu kati yangu mimi na mama solomonii. Mimi ni mwanaume wa early 30's niko na mke na familia ya watoto kadhaa. Mimi siku zote huwa ni...
33 Reactions
163 Replies
4K Views
Striker gan wewe mjinga mjinga, striker unapewa pasi funga unapeleka nje, magolo 2 clear kabisa anakosa mjinga huyu, ameniudhi sana leo
3 Reactions
23 Replies
674 Views
Ndugu zangu Wana wa mungu, nawasalimu na poleni kwa tatizo la internet kuwa chini. Napenda tu nitoe kero zangu kwa baadhi ya posts. Hivi ni kweli kwa huu muungano wa Tanganyika na Zanzibar Kuna...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
1. Wanawake wa kichaga ukioa akiona tu una future anaanza kujiweka Loyal kwako kwa kukuaminisha yeye ni wakitofauti anataka mfanikiwe wote 2. Anakuweka karibu hadi hati zisome majina yake kupitia...
21 Reactions
96 Replies
2K Views
Internet ipo slow sana lakini tunaweza kujuzana mitandao yenye nafuu Hapa natumia halotel 4G, ipo slow kama kobe, Imenilazimu nizime picha kidogo kuna nafuu. Wewe unatumia mtandao gani, Je kuna...
4 Reactions
37 Replies
646 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,401
Posts
49,603,526
Back
Top Bottom