Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

... 🙂 𝗧𝗨𝗡𝗔𝗙𝗨𝗞𝗨𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗕𝗨𝗥𝗜 "Tumemsajili Ngoma Mchezaji tuliyemuiba Airport, tuna Chama, Miquissone karejea.. Tutachukua Ubingwa wa ligi kuu mapema sana msimu huu 23/24" ©️ Ahmed Ally Meneja wa...
2 Reactions
5 Replies
65 Views
Nina uzoefu wa miaka miwili as Lab technician nimefanya Bwawa la Umeme la mwalimu nyerere. Natafuta kazi as Civil technician Foreman Lab technician CAD technician Nipo Dar es salaam
1 Reactions
9 Replies
86 Views
Mimi naweza kufafanya kitu kibaya kabisa kwa majibu ya chooni kama haya. Sina maneno mengi ila inasikitisha sana kwa hali ilivyo siku hizi hawa wanawake watatuuwa tukiwa bado vijana wadogo...
12 Reactions
96 Replies
4K Views
Alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani mwaka 2016, na kuingia Ikulu 20/01/2017 baada ya kula kiapo. Katika kipindi cha uongozi wake, alifanya mengi, yakiwemo yaliyowafurahisha na yaliyowakwaza...
10 Reactions
71 Replies
2K Views
1. Wanawake wa kichaga ukioa akiona tu una future anaanza kujiweka Loyal kwako kwa kukuaminisha yeye ni wakitofauti anataka mfanikiwe wote 2. Anakuweka karibu hadi hati zisome majina yake kupitia...
45 Reactions
181 Replies
6K Views
Kuna mazungumzo yanaendelea kuhusu kampuni ya uchimbaji madini ya BHP kutaka kuinunua kampuni ya uchimbaji madini ya Anglo America. Kwa Tanzania Anglo America inamiliki mgodi wa Geita Gold Mine...
5 Reactions
22 Replies
473 Views
Mkuu wa Pentagon Lloyd Austin anaamini kwamba ikiwa Ukraine itapoteza vita kamili na Urusi, nchi hiyo ya pili italazimika kupigana na Muungano mzima wa Atlantiki ya Kaskazini maarufu kama (NATO)...
1 Reactions
44 Replies
2K Views
Habari Wadau, Naomba kujua rufaa waliyokata Yanga dhidi ya Mamelodi kuhusiana na maamuzi ya Mwamuzi kukataa goli la Azizi K kwenye mechi ya robo fainali mkondo wa pili huko Afrika Kusini kati ya...
0 Reactions
3 Replies
44 Views
Mara kwa mara nimekuwa nikiona hili neno kuwa mnasema mara nyingi Uislam ni Dini ya haki na sometime mmekuwa mkiwaita Dini nyingine Makafiri, hayo maneno yamekuwa ukinitatiza sana Lakini mimi...
7 Reactions
54 Replies
2K Views
"Samahani sana ninavyokuona sio kama nilivyotegemea, HATUENDANI"... baada ya kusema hivyo jamaa aliyekuwa naye kwenye Toyota Hiace nyeupe akaniangalia na kutabasamu kisha akaondoa gari. Mimi...
33 Reactions
140 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,604
Posts
49,608,506
Back
Top Bottom