Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo! Nitakua nampooza ya maji!! NB: Wenye ushauri wa uende...
13 Reactions
127 Replies
1K Views
Haya maisha bwana. Mwaka 2019, nilifanya interview na shirika Moja la waingereza, aisee interview ilikuwa Kali hatari, nilikuwa natoa jibu linalonijia kichwani. Cha kushangaza baada ya wiki Moja...
6 Reactions
43 Replies
1K Views
Mwaka 1947 umoja wa mataifa uliweka mipaka kati ya waarabu na wayahudi. upande wa waarabu ukaitwa Palestina kwa mara ya kwanza (jina walilopewa waarabu enzi warima wakkitawala Israel), upande wa...
3 Reactions
17 Replies
297 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
515K Replies
29M Views
Mtoto wangu yoyote yule akija kuwa askari polisi amejifukuzisha mwenyewe kwenye familia.
7 Reactions
16 Replies
51 Views
  • Sticky
Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea. Tuambiane; - Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako? - Ni ya aina gani...
50 Reactions
22K Replies
2M Views
Hello brothers and sisters... This is something very important you should know. When you have sex with another person, you exchange energy. If that person is carrying around guilt, shame or...
9 Reactions
65 Replies
639 Views
Mzee Wa upako anaamini Yesu Sio Mungu ni mojawapo tu wa viumbe vilivyoumbwa na Mungu msikilize mwenyewe akiongea https://youtu.be/arslWzOsg6U?si=kb8B1gDqxFl-jXq8
15 Reactions
200 Replies
2K Views
Ukifika mbezi mwisho karibu na choo cha stendi ya daladala utakutana na misululu mirefu ta watu wakusubiri usafiri wa daladala! Tofauti na wasafiri wengine ambao dakika sufuri magari ni mengi tena...
4 Reactions
8 Replies
365 Views
Wanakumbi. CNN imetoa ripoti ya kushtua kuhusu kuteswa kwa wafungwa wa Kipalestina katika kambi ya Sde Teiman katika jangwa la Naqab, ambapo Israel inatekeleza uhalifu mkubwa dhidi ya wafungwa wa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,233
Posts
49,594,148
Back
Top Bottom