Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
927 Reactions
1M Replies
40M Views
Tuweke picha zetu wanaume namna tunavyopambana kupambania familia zetu. Lengo la huu uzi ni kutiana Moyo na kuombeana katika mapambano ya kila siku. Hakika tutakula kwa jasho. Mathayo 6:6-9...
1 Reactions
7 Replies
22 Views
Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana. Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na...
5 Reactions
13 Replies
265 Views
Habari za Leo wakuu Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine...
7 Reactions
146 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote Kapteni Ian Kagame wa Jeshi la Ulinzi Rwanda
0 Reactions
11 Replies
151 Views
Nina kijana wa miaka 17. Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija...
27 Reactions
344 Replies
5K Views
Waislamu wengi wanaumia sana juu ya Wapalestina wakitaka wasaidiwe, si mbaya, maana imeandikwa katika maandiko yao kuwa ndugu yako wa kwanza ni muislamu...... Lakini katika kupita huku na kule...
15 Reactions
62 Replies
2K Views
Wadau naomba ushauri wenu. Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi. Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message...
14 Reactions
99 Replies
1K Views
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu Namuunga mkono Lema 100%...
2 Reactions
2 Replies
7 Views
  • Sticky
Full name: Chelsea Football Club Nickname(s): The Blues, The Pensioners Founded: 10 March 1905 League: Premier League Website: ChelseaFC.com Ground: Stamford Bridge, (Capacity...
154 Reactions
121K Replies
7M Views

FORUM STATS

Threads
1,853,145
Posts
49,591,419
Back
Top Bottom