Inakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto.
Big up kwa...
Habari za muda wazee Hivi Hapa dar es salaam maeneo ya Gongolamboto Mpaka Huku Banana Kuna Sehemu yeyote Kuna internet Cafe Nakama ipo Kushusha file nzito almost Gb 20-30 wanachaji kiasi gani...
Sijui watahamia wapi au waje huku kwa wanaopenda kufia haya mavitu...
US Secretary of State Anthony Blinken warned Qatar last month that they should expel Hamas senior officials if the terror...
Wanabodi, kilichotokea leo kwenye kuapa kwa yule muhitimu wa Mzumbe na IFM ni ushahidi tosha kuwa hakuna elimu Mzumbe na IFM
Ukweli ni mchungu sana. Kuna vyuo vilipandishwa hadhi ya kutoa shahada...
Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye...
Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija...
Salaam Wakuu,
Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi.
Tuzujane hapa kianachojiri..
Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
Marekani Kupitia Ibalozi wake imetoa Msaada wa Maboza 6 ya Maji yanayojiendesha Kwa Jeshi la Tanzania JWTZ.
Maboza hayo Yana uwezo wa kusukuma maji Lita 2400 Kila Moja na ni maalumu kutumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.