Habari zenu wana jamvi naomba mnifahamishe shule nzuri za advance ziwe boys tupu au co-education.
Nakama mkieza kuniambia Na ada zao itakuwa vizuri zaidi.
Natanguliza shukrani zangu.
Sent using...
Kumbe mh Tundu Antipas Lisu kwa Nafasi yake ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Chadema
Tuzidi kumuombea hii Nafasi ni kama ya Mangula pale CCM enzi za Shujaa Magufuli
Credit: Mwananchi...
Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija...
Wakuu habari za wakati huu.
niwe wazi tu tangu nimemaliza chuo,maisha kwangu yamekua magumu,michongo niliyopata ilihitaji niwe na cheti bahati mbaya nina vimeo so hadi nviclear.
nlvyomalza home...
Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters.
The club formed in 1902.
Stadium: Santiago Bernabéu...
Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway
President John Magufuli with China Exim Bank president Liu Liang after holding talks at Chamwino State Lodge...
Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance...
Wakuu nimekua nikitamani kufanya cartoon na 2d animation tangu niko shule. Hivyo imepita miaka mingi bila kutimiza ndoto kutokana na kutokuwa na resource mbalimbali.
Sasa mwaka fulani hivi...
We mdada wa CRDB tawi la Mwanza customer care desk, kwanza nakuombea kwa mungu uzidi kukupa afya njema vingine nitafanya mimi, ninafanya juuchini nikupate, iwe ni kwa upendo, dua, viringe ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.