Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

MAFANIKIO YA MIAKA MITATU YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA A). Huduma ya majisafi na salama vijijini na mijini imeimarika Vijijini kutoka wastani wa 77% Desemba 2022 hadi 79.6 Desemba, 2023 Mijini...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Inashangaza na inasikitisha kuona kijana ana miaka karibia 35 na hajawahi miliki hata gari la million nne, ukweli ni kwamba kwa dunia tuliyopo usafiri binafsi hauepukiki. Sijamaanisha ununue gari...
5 Reactions
26 Replies
27 Views
Habari ndugu zangu, nimekutana na utapeli wa kiwanja maeneo ya Kisota Kigamboni. Mpaka sasa nipo njia panda kupata haki yangu pamoja na wahanga wenzangu zaidi ya 10, ambao tumenunua viwanja...
8 Reactions
27 Replies
759 Views
1. Soko la Buguruni, harufu inyotoka mle haivumiliki! Kila apitaye njia ile anaelewa ninachokiongea. 2. ⁠Machinjio ya Ukonga, harufu ya uchafu hadi Mombasa! 3. ⁠Machinjio ya Vingunguti, harufu...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
514K Replies
29M Views
  • Poll
Habari wakuu, Naomba kujua maoni yenu! Klabu gani itashinda Champions League 2024 na kwa nini?
3 Reactions
61 Replies
2K Views
Wewe Mtumishi wa serikali au sekta binafsi inakuwaje unapambana au kushindana na jobless... Mimi jobless siijui na sina matumaini na kesho yangu, kwa sababu nikilala nikiamka mipango yangu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Natafuta wateja wa bata wa kienyeji Madume 25,000 Majike 20,000 Mbagala charambe ndipo nilipo
2 Reactions
12 Replies
100 Views
Inafkrisha sana mama kakimbia ukiwa na miaka 4 baada ya miaka 12 ndio unakuja kumjua lkn anakupa sababu ambazo hazina mashiko unaamua kufunika kombe mwanaharamu apite. Miaka inaenda unamaliza...
10 Reactions
68 Replies
3K Views
Kuna muda nilikaa na wafanyakazi wenzangu tukaulizana hivi ni nani kati yetu anamiliki gari kali kama G-wagon na AudiRs7 kupitia ujira ule ule unaotokana na kazi yetu jibu likawa hakuna...
36 Reactions
116 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,499
Posts
49,574,462
Back
Top Bottom