Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Najua nyie mpo loyal KWA taifa hili,mmelilinda tangu kuasisiwa kwake, Najua nyie Ndio mmeiruhusu ccm kuwa Chama Tawala tangu kuanzishwa kwake hadi leo,bila nyie CCM isingekuwepo madarakani Hadi...
1 Reactions
8 Replies
495 Views
Jamani, mimi sina la kuongeza hapa. Normal physiology na human taste inakubaliana na philosophy ya binadamu kwamba chakula fresh from the kitchen lazima kiwe kitamu kuliko kiporo. Ila linapokuja...
13 Reactions
71 Replies
900 Views
Nimekuwa verified member wa JamiiForums tangu zamani, pia malezi ya chama changu yamenifanya nipende mjadala. Nimefurahi kuja kuwaona, sikuwahi kujua nyie ni wakubwa kiasi hiki. Nimeona kazi...
25 Reactions
112 Replies
1K Views
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda...
13 Reactions
207 Replies
4K Views
Mnamo mwaka wa 2003, wanaume wawili Ben C. Padilla na John M. Muntu, waliiba Boeing 727-223 iliyokuwa imeegeshwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Luanda (nchini Angola) na kuruka...
2 Reactions
9 Replies
129 Views
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda...
37 Reactions
262 Replies
7K Views
Habarini za muda wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Ninahitaji kuzalisha fedha kuanzia millioni moja na kuendelea kwa siku ya Kuanzia leo mpaka Jumamosi. Ili niweze kutatua tahadhari...
8 Reactions
23 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=95-KgsbjZ_s&pp=ygUZbmFnYXJqdW5hIGNlbWVudCBmdW5ueSBhZA%3D%3D
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Napenda kufahamu jinsi wafanyabiashara wanavyonunua mbuzi toka kwenye minada mbalimbali eneo la Gairo, Kilindi, Handeni , Kilosa na Dodoma. Kisha kuwasafirishq kupeleka kwenye kiwanda cha Nyama...
2 Reactions
19 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,562
Posts
49,576,428
Back
Top Bottom