Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wabunge wa Zanzibar wanatakiwa kuhudhuria vikao vya bunge vya mambo ya muungano tu sio vikao vyote vya bunge Kuna bajeti mfano hazihusu mambo ya muungano wanakalia Nini ? Au Kwa Nini wawawekwe...
1 Reactions
8 Replies
113 Views
Waziri Nape Nnauye atembelea Ofisi za JamiiForums ==== Nimekuwa verified member wa JamiiForums tangu zamani, pia malezi ya chama changu yamenifanya nipende mjadala. Nimefurahi kuja kuwaona...
14 Reactions
59 Replies
546 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
514K Replies
29M Views
Ukweli Yanga wanakera, timu haifungwi, timu hausuruhu, timu tangu ligi imeanza iko nafas ya kwanza, mvua zikaja bado iko nafas ya kwanza, hidaya kaja kapita Yanga bado iko nafas ya kwanza Ukwel...
3 Reactions
15 Replies
154 Views
Tuongee ukweli kati ya Yammi na mke wa Barnabas nani mzuri be honest😜
5 Reactions
69 Replies
938 Views
Mimi ni mmojawapo wa Watanzania ambao kwa kweli siamini hata kidogo kwamba jeshi letu la Polisi linafanya kazi kwa weredi. Nina namna fulani ya dharau juu ya utendaji wa mambo mengi yanayohusu...
1 Reactions
10 Replies
186 Views
Tundu Lisu, kwa historia yake, matendo yake na kauli zake, ndiye mtu anayetakiwa kutambulika kama mtetezi namba moja wa haki, usawa, ukweli na umoja wa Watanzania wote bila ya kujali hali ya mtu...
9 Reactions
40 Replies
439 Views
Katika historia, watawala walitumia mbinu kali za adhabu kwa lengo la kuadhibu maadui zao pamoja na wale walio tekeleza matukio ya kihalifu. Pia walitumia mbinu hizo kama njia ya kuwafanya...
3 Reactions
14 Replies
240 Views
Wanajamvi Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya, Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika...
1 Reactions
17 Replies
89 Views
Salaam,Shalom!! Nimesoma tafiti iliyofanywa na Taasisi inayotambulika Kwa Jina la SAUTI KUBWA: Isemayo. " Kamari yatafuna Taifa kimya kimya" iliyoandikwa na mwandishi aitwaye, Arodia Peter ...
5 Reactions
25 Replies
247 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,533
Posts
49,575,601
Back
Top Bottom