Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
514K Replies
29M Views
Wanandoa nyie ni mawakala wa Mungu,zaeni watoto,muwalee vizuri ili nao waje kuzaa na kuanzisha familia zao.Iki mtimize wajibu huo,acheni migogoro midogo midogo mara,mje kafanya hivi,mara mume...
0 Reactions
1 Replies
18 Views
Inawezekana kuna mtu akawa na changamoto kama yangu hii hapa. Unajitahidi kutokuwa na mchumba na unajilinda kutokufanya uasherati lakin muda mwingi nakuwa Natumia kufikiria matendo ambayo si...
4 Reactions
36 Replies
432 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania haya...
3 Reactions
27 Replies
171 Views
Habari: fedha ya kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo hususani Chuo cha mipango na maendeleo vijijini imeingia toka tarehe 30 ya mwezi 4 lakini ajabu mpaka leo tarehe 8 ,fedha izo azijaingizwa kwenye...
2 Reactions
6 Replies
19 Views
Chekechea na Primary nimesoma english medium private. Sekondari Form 1 hadi 6 nimesoma Boarding private, Msosi Pilau kila J5 na J2, Ugali ni nadra sana. Chuo kikuu sikupata mkopo ila si haba...
13 Reactions
85 Replies
3K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri wa Muungano...! Wanaohusika na ukarabati wa barabara ya Kimanga, hasa kipande cha kuanzia Bima hadi Mawenzi wawajibike tafadhali, au mnasubiri mpaka madereva...
0 Reactions
1 Replies
6 Views
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans🆚Kagera sugar FC 📆 08.05.2024 🏟 Azam complex 🕖01:00 usiku
3 Reactions
23 Replies
132 Views
Ameandika Tundu Lissu kwenye Mtandao wa X Serikali ya SSH leo imevunja makazi ya Wamasai wa Sanya Station, karibu & airport ya KIA. Lengo ni kukabidhi eneo lao kwa kampuni ya Oman Airports ya...
17 Reactions
99 Replies
2K Views
Wakuu, Nyumba thamani yake ni milion 12, vyumba vitatu na kimoja cha nje. Imefanyiwa wiring bado umeme lakini vyote umeme na maji vyote vipo jiran tu nyumba ya pili ni kuvuta tu. Gari nalotaka...
5 Reactions
70 Replies
971 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,099
Posts
49,594,636
Back
Top Bottom