Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tanzania ni moja tu, leo unaitwa Mwanaharakati wa Tanzania kwa sababu wapo Watanzania wenzako wameifikisha hapa. Inakufaa nini kuzungumza uzushi juu ya nchi yako? Utafaidika nini kutangaza mabaya...
0 Reactions
12 Replies
143 Views
Jinsi masuala ya muungano yanavyoshughulikiwa na kwa sasa, ni mtu kipofu wa akili tu ndio hataona kwamba kadiri siku zinavyopita mbegu za uhasama kati ya Tanzania bara na Zanzibar inazidi kuota...
25 Reactions
86 Replies
2K Views
LISSU ni mwanasiasa muongo, mfitini na mbaguzi kuwahi kutokea katika Taifa hili, Watanzania lazima muelewe vizuri hulka ya huyu ndugu yetu ambae wengi tunaamini baada ya ile ajali kwa sasa...
13 Reactions
121 Replies
2K Views
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani. Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu...
9 Reactions
147 Replies
5K Views
Mkuu Pascal Mayalla si kiitikadi bali kiuzalendo zaidi nashawishika kukuuliza Haya maswali Mawili baada ya kusikiliza Mahojiano Yako na Fr Kitima wa TEC Binafsi nakupongeza kwa namna...
1 Reactions
7 Replies
132 Views
Karibuni kwenye mada. Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga. Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji...
33 Reactions
19K Replies
731K Views
Habari zenu wana jamvi! Leo niko hapa ndugu zangu kwa ajili ya kuomba wenu ushauri ya kipi nifanye ili kuweza kukaa vyema kiuchumi. Kisa changu kinaanzia hapa; Tangu nilipoacha masomo yangu ya...
8 Reactions
39 Replies
478 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo...
11 Reactions
225 Replies
3K Views
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500. Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa...
79 Reactions
312 Replies
13K Views
Habari ndugu zangu, nimekutana na utapeli wa kiwanja maeneo ya Kisota Kigamboni. Mpaka sasa nipo njia panda kupata haki yangu pamoja na wahanga wenzangu zaidi ya 10, ambao tumenunua viwanja hivyo...
3 Reactions
10 Replies
264 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,387
Posts
49,602,902
Back
Top Bottom