Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu. Sijui umri unanienda au? Kuna baadhi ya "trend" za magari naona zinazidi kushika kasi. Najua "maybe" ata Automatic transmission zinavyoingia kuna watu waliona jau, ila ishazoeleka sahivi...
14 Reactions
17 Replies
365 Views
MBUNGE NDAKIDEMI AWAKIMBILIA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KATIKA KATA ZA MABOGINI NA ARUSHA CHINI. Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini Profesa Patrick Ndakidemi ametoa pole kwa Wananchi wa Kata za...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa...
0 Reactions
12 Replies
86 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
163K Replies
4M Views
Sheikh wa mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma akiambatana na viongozi wengine wa BAKWATA mkoa wa Arusha leo, Mei 07.2024 ameongoza sala maalum ya kumuombea kheri Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul...
2 Reactions
36 Replies
581 Views
The Weekend - Out of Time
18 Reactions
4K Replies
69K Views
  • Suggestion
UTANGULIZI: Mfumo wa Pamoja wa TEHAMA wa udhibiti wa mifumo ya TEHAMA (General Intergrated Control of IT systems) ni mfumo wa pamoja utakaosimamia na kudhibiti matumizi ya mifumo ya TEHAMA katika...
0 Reactions
2 Replies
31 Views
Mzuka wanajamvi. Mtawala wa Saudi Arabia Mohammed Bin Salman (MBS) aliahidiwa na mtawala wa Dubai al maktoum atamtunukia binti yake amuoe. Lakini baada ya mtawala wa Dubai kugongewa mkewe Haya...
17 Reactions
135 Replies
6K Views
Tufike wakati tuseme imetosha sasa. Jana kwenye kikao cha Bunge nimewanukuu wa Bunge watatu wakililia barabara na wengine kusema, Mheshimiwa Waziri, wananchi tumewafanya kama misukule, hao ndio...
4 Reactions
12 Replies
146 Views
1. Mchaga akioa au kuolewa na Mpare, Muha au Mmasai... 2. Msukuma akioa Mbulu/Mrangi/Mnyaturu/Mmeru/Mchaga au Muiraki... 3. Mhehe akioa au kuolewa na Mbena, Mnyamwezi, Mngoni... 4. Mdigo akioa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,997
Posts
49,591,631
Back
Top Bottom