Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana...
7 Reactions
57 Replies
794 Views
Nmenyoosha mkono juu wana jf wenzangu naombeni mnielekeze sehem au taasisi yoyote unayoijua yenye nafasi nipeleke barua zangu walau nipate kazi.ichagui kazi sichagui mshahara. Naombeni msaada...
4 Reactions
8 Replies
527 Views
Sheikh wa mkoa wa Arusha Sheikh Shaaban Bin Juma akiambatana na viongozi wengine wa BAKWATA mkoa wa Arusha leo, Mei 07.2024 ameongoza sala maalum ya kumuombea kheri Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul...
2 Reactions
30 Replies
540 Views
Wakuu. Sijui umri unanienda au? Kuna baadhi ya "trend" za magari naona zinazidi kushika kasi. Najua "maybe" ata Automatic transmission zinavyoingia kuna watu waliona jau, ila ishazoeleka sahivi...
13 Reactions
16 Replies
347 Views
Naona kuna watu wanaleta ubishi usio na msingi kuhusu ukubwa wa producer namba moja Tanzania S2KIZZY aka Zombie. Lakini wote wanaobisha wanasukumwa na chuki hawana sababu ya msingi. Ukweli ni...
6 Reactions
38 Replies
209 Views
My Take Naunga mkono hoja,walishwe chakula Moja kwa.moja kama Vyuo vya Ualimu,Shule za Sekondari au wajitegemee. https://www.instagram.com/reel/C6rDl25CTFw/?igsh=ZDk5Y203OTQ5d3Zo
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wadau nawasabahi. Uchaguzi ndio huo unakaribia. CHADEMA wameshinda pambano lao dhidi ya Halima Mdee na kundi lake kwa kuishawishi Mahakama Kuu kuthibitisha uhalali wao wa kuwafukuza Halima Mdee...
2 Reactions
19 Replies
483 Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema kinachotafsiriwa kuwa ni uchawa kwa sasa miongoni mwa makada wa chama hicho, ni njia mojawapo ya wananchi...
2 Reactions
18 Replies
295 Views
Siku kama nne nyuma niliota nipo napita njia ambayo kiuhalisia naijua hiyo njia lakini sikuwahi kuipita, yaani unaiona njia inaelekea huko ila sijajua inaishia wapi nasjawah kujishughulisha kisha...
8 Reactions
99 Replies
1K Views
-Habari za kazi viongozi, nisiwachoshe niende moja kwa moja katika swali langu. -Nimekuwa msikilizaji wa nyimbo za kibongo hasa kizazi kipya. nilijipa mda kusikiliza nyimbo zilizotengenezwa na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,992
Posts
49,591,450
Back
Top Bottom