Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hizi sehemu zenye kugombania gori kuanzia madukani,michezo,sanaa,mziki,ajira,siasa,sokoni,madini,uvuvi n.k bila uchawi na ushirikina kutoboa labda umeshika dini sana au kwenu ukoo uko vizuri...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Katika mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi 2024/25 baadhi ya wabunge wanalalamika tozo ya warfage kukusanywa na TRA. Wanataka sheria ibadilike ili tozo hiyo ikusanywe na TPA. Ikumbukwe kuwa...
2 Reactions
4 Replies
63 Views
Ukiwa member wa makundi ya Whassap, ya kifamilia, ukoo, mliosoma wote primary, O-Level, High School, Chuo, Kazini, Mtaani Kuna mzigo mzito sana wa michango ya rambirambi inakungoja. Kila kundi...
5 Reactions
22 Replies
432 Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla ametetea machawa wa CCM kwamba ni watu wazuri ambao uchawa wao ni sehemu ya Shukrani. Zaidi soma hapa
2 Reactions
2 Replies
3 Views
  • Sticky
Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway President John Magufuli with China Exim Bank president Liu Liang after holding talks at Chamwino State Lodge...
15 Reactions
16K Replies
2M Views
Habari jf team. Nimechoka na maisha ya upweke. Finally, nimeamua kufanya maamuzi magumu kwa mustakabali wa future yangu na familia ambayo Mungu atanibariki. Natafuta MWANAMKE ambaye anahitaji...
0 Reactions
23 Replies
89 Views
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo : Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia Upatikanaji wa chakula Urahisi wa Usafiri Elimu Hali ya Hewa Huduma za maji Mitandao ya simu Usalama...
11 Reactions
86 Replies
2K Views
Habar za wakati huu wana jf,? Binafsi nimekua nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni,nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua...
2 Reactions
16 Replies
137 Views
Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani...
5 Reactions
40 Replies
1K Views
Mimi sijaoa Ingawa naelekea huko. Uzi wangu ni kwa dhumuni la kujifunza, hasa kutoka kwa wenye ndoa. Hili swali nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana. Sasa jana kuna movie moja ya Ki-Nigeria...
24 Reactions
416 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,905
Posts
49,589,090
Back
Top Bottom