Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mzuka wanajamvi. Mtawala wa Saudi Arabia Mohammed Bin Salman (MBS) aliahidiwa na mtawala wa Dubai al maktoum atamtunukia binti yake amuoe. Lakini baada ya mtawala wa Dubai kugongewa mkewe Haya...
16 Reactions
126 Replies
6K Views
Wajameni eeh, Nimebahatika "kupata" mahala ka mtaji. Ni kiasi cha Shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania. Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida (i.e...
36 Reactions
2K Replies
563K Views
Habari wanajamii mnakumbuka nilileta changamoto yangu amkusita kunishauri vyema Na sasa ule ushaur mlionipa umezaa Matunda nawashukuru kwakila mmojawapo Kwa kusoma story yangu nakutia chochote...
2 Reactions
6 Replies
40 Views
Rafiki yangu mpendwa, Kwenye safari ya kujenga utajiri, watu huwa wanashangaza sana. Wengi wanapokuwa na miaka 20 na 30 huwa wanaona ni mapema sana kwao kuhangaika na kujenga utajiri. Hivyo...
1 Reactions
8 Replies
141 Views
Nachokisema Nina uzoefu nacho sana nataka ujue ukweli kwanini mtu anafikia hatua anakunywa pombe kila siku na mtu wa hivyo usimdharau jua anakumbwa sana na changamoto ya kukosa usingizi usiku...
1 Reactions
4 Replies
12 Views
IBILISI RUDISHA FAHAMU ZETU(MIMI NA MKE WANGU). BY ISSAI SINGANO . (Singano jr). DIBAJI Saa saba mchana Frida alionekana akiingiza gari ndani ya hospitali na taasisi ya kitafiti ya Neuroscience...
2 Reactions
169 Replies
38K Views
Huwa navutiwa sana ninaposikia Kibatala anamtetea mtu, nimeanza kukufuatilia kitambo sana uwezo wako kisheria na kweli umenifanya hata mimi nipende kusomea sheria, Wakili msomi Kibatala, mimi...
12 Reactions
137 Replies
3K Views
Habari members Nimetumia neno mwenda zake kumaanisha amefariki. Akili Leo imenikumbusha juu ya huyu rafiki yangu ambae ametangulia mbele ya haki akiwa mdogo saana miaka 32, ni huzuni sana lakina...
4 Reactions
4 Replies
142 Views
Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka.. Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online. Nifanyaje...
22 Reactions
123 Replies
2K Views
Katika hali ya kutoikubali 4R Mods wa JF waendeleza u anaji wa taarifa.
1 Reactions
10 Replies
68 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,951
Posts
49,590,148
Back
Top Bottom